Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Featured Image

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki
yako akijua? tena koma!
JAMAA: Ntakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana
mume wangu akiwa kazini!





Kesho yake Jamaa kaja
na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake,
jioni ilipofika
Mume akarudi home na
kumuuliza Mkewe, "Rafki yangu SAM kaleta hela yangu milioni 1?"
MKE akajibu kwa unyonge, "Ndio!"
MUME: Yes! Ndio maana nampenda SAM kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!!
Mke hoi……


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Chris Okello (Guest) on March 24, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Grace Minja (Guest) on March 21, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on March 13, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on March 11, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on February 22, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on February 11, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mahiga (Guest) on February 7, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on January 10, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on January 10, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Lucy Mahiga (Guest) on January 3, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on December 15, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Alice Jebet (Guest) on October 24, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mzee (Guest) on October 22, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on October 13, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Wande (Guest) on October 12, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Simon Kiprono (Guest) on October 3, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on October 1, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Yusuf (Guest) on August 20, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on August 16, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Anna Sumari (Guest) on July 20, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on July 3, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on June 9, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on May 15, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Stephen Malecela (Guest) on May 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on May 8, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Safiya (Guest) on April 23, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on March 14, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on February 26, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Esther Cheruiyot (Guest) on February 15, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 23, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on December 16, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Joyce Aoko (Guest) on December 9, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on November 26, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Hassan (Guest) on November 10, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Miriam Mchome (Guest) on November 2, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Diana Mallya (Guest) on November 2, 2015

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on October 31, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on October 22, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Stephen Kikwete (Guest) on October 16, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on October 11, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on September 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rabia (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Halima (Guest) on September 2, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Grace Wairimu (Guest) on August 31, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Thomas Mtaki (Guest) on August 14, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on August 9, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Jane Muthui (Guest) on August 7, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Nyota (Guest) on July 8, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Henry Sokoine (Guest) on July 3, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Paul Kamau (Guest) on May 25, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Yusuf (Guest) on May 21, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on April 27, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Joy Wacera (Guest) on April 24, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on April 2, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Related Posts

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More