Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Safari ni safari

Featured Image

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maisha ni mazuri na mwingine ni mabaya, katika maisha yetu tumeshapitia safari nyingi sana na za aina mbalimbali kwa nyakati mbalimbali. Lakin kiukweli kila safari ni safari tuu.

Japokua kila safari ina changamoto zake lakini mwisho wake ni ule ule , kila safari ina uzuri na upekee wake.

Vile vile kila safari ina ubaya wake, kwa mfano kila safari ina gharama yake kulingana na upekee wake.

Usiwe na wasiwasi na mashaka na aina ya safari ulionayo, jipe moyo utaimaliza na kupata ulichokitarajia. Haya ndio maisha na wote tunatakiwa tuyafurahie.

Ingawa kila mtu ana safari yake bado wote tunatakiwa tufurahie pamoja kwa safari tuliyo nayo. Hata Uwe Na safar ya aina gani wewe furahi tuu. Hii ni kwa sababu safari mwisho wake ni mmoja kwa wote burudani ni ile ile

Safari🍺 ni safari 🍺hata kama ni ya chupa au ya kopo mwisho wake πŸ’€πŸ’€

πŸ˜‹πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ulijua ni nn??

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zulekha (Guest) on July 19, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mary Kidata (Guest) on July 18, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on July 17, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on July 1, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on June 26, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Vincent Mwangangi (Guest) on June 21, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Amir (Guest) on May 13, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on April 21, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on March 30, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mwakisu (Guest) on March 19, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Daniel Obura (Guest) on March 18, 2024

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Zakaria (Guest) on February 17, 2024

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Henry Sokoine (Guest) on February 16, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on February 12, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Rose Lowassa (Guest) on February 2, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on December 13, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Janet Mwikali (Guest) on December 10, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rahim (Guest) on November 17, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on November 13, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Hashim (Guest) on October 17, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Stephen Malecela (Guest) on August 23, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

John Kamande (Guest) on July 26, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Nancy Komba (Guest) on July 20, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on July 20, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Mustafa (Guest) on June 27, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Anna Kibwana (Guest) on June 1, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Andrew Mahiga (Guest) on May 26, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Sokoine (Guest) on May 23, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Miriam Mchome (Guest) on May 19, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on May 15, 2023

😊🀣πŸ”₯

Robert Ndunguru (Guest) on May 11, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on May 9, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Irene Akoth (Guest) on April 24, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Zakaria (Guest) on March 16, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Janet Sumaye (Guest) on January 28, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on January 24, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

James Kawawa (Guest) on January 10, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on January 6, 2023

Asante Ackyshine

Irene Akoth (Guest) on December 31, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Christopher Oloo (Guest) on December 29, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Catherine Naliaka (Guest) on December 6, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Alice Jebet (Guest) on December 5, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Francis Njeru (Guest) on November 29, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on November 19, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Ruth Wanjiku (Guest) on October 28, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on September 17, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Alice Jebet (Guest) on July 26, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on July 13, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Josephine (Guest) on July 10, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mary Kidata (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on May 5, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Latifa (Guest) on April 22, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on April 12, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on March 16, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Joseph Mallya (Guest) on March 12, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Robert Okello (Guest) on March 11, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Fikiri (Guest) on March 8, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Edward Chepkoech (Guest) on March 8, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on February 24, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Zubeida (Guest) on February 10, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Related Posts

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More