Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Featured Image

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha za kutunisha Mfuko wa Jumuiya…sasa unakakaa mbele kabisa ili Muda wa Msosi usichelewe na kukuta kwenye Buffee yamebaki maharage!

MC : "Papai zuri kabisa kutoka Newala, Papai Mwendokasi, hili ni Shilingi laki 1..jamani Papai,nipeni ofa!"

MOSHA : "Laki 3 hapaaa!"

"Jamani laki 3 pale kwa Mosha, Papai linaondoka jamani, papai hili ni self contained kabisa….papai jamani"

KIBOLIBO: "Milioni 1 hapaaa"

"Jamani Mambo yanazidi kunoga hapa!…Benedict Kibolibo anataka papai kwa milioni 1 jamani, linaondoka papai!"

RWEYEMAMU : "nitanunua Papai hilo kwa Milioni 5"

Haya sasa jamani Rweyemamu ametoa ofa ya Milioni 5 Jamani, nani mweingineee?"

Kimyaaa…

Haya jamani Papai kama hakuna Ofa basi Papai linakwenda kwa Rweyemamu!……..haya sasa Kuna Kuku hapa Jogoo kabisa, bei yake ni laki 6 jamani Jogoo twitter huyu!"

WEWE "Milioni Mojaaa!"( hapa umejiwahi wa kwanza na wewe uonekane upo huku ukijua kabisa Wakina Mosha na Rweyemamu lazima watampandia Dau Jogoo, tena dau kubwa"

MC: ee sasa Kumekucha Jamani, Kabasele anamtaka Jogoo kwa Milioni 1 jamani!….ofa nyingineeee!"

Kimyaaa…

Jamani Jogoo anakwenda kwa Kabasele jamani!…ofa nyinginee!

Kimyaaa….

Kimyaaa….

πŸ˜πŸ˜πŸ˜β€¦hapa sasa ndio mfukoni kuna Buku jero,..huko kwengineko NMB nill balance…sasa unageuza mimacho kumtazama Mosha kama atapanda dau kwa jogooπŸ‘€(mama wee Mosha anachezea Simu!)…..unamtazama Rweyemamu (teh anatafuna Kuku)…..mama weee😝

MC: Haya jamani kama hakuna Mwingine basi zoezi letu liishie hapa na limekwenda kwa Mafanikio, Mpatieni Kabasele Jogoo wake!

Hapa sasa unapokea jogoo wako wa MILIONI kwa Tabasamu la Maiti….kule nyumbani Jogoo wako Mkubwa unauza elfu 20 lakini sasa haka kajogoo kapya Mkononi kanakuwa kazito utadhani umembeba John CenaπŸ‘€β€¦Mama weee hapa sasa vidari ulivyotafuna unaviona kama vimerudi kwenye Ulimi….Chicken wings zinataka kutokea Masikioni…..Uuuuwiiiii,😝😝😝

Na hapa sasa kabla Dinner haijaisha ndipo unapojikuta Umebuni Cocktail ya Sparetta na TomatoπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚.
chiel wie okee

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mchawi (Guest) on July 22, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Zuhura (Guest) on July 19, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Grace Minja (Guest) on July 9, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

James Kimani (Guest) on June 18, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 15, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Mussa (Guest) on May 12, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Chum (Guest) on May 3, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Husna (Guest) on April 18, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anna Malela (Guest) on April 11, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Mary Mrope (Guest) on March 28, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on February 21, 2024

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Susan Wangari (Guest) on February 13, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Muslima (Guest) on January 27, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Alice Mwikali (Guest) on January 3, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on December 4, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on November 27, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on November 9, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

John Mushi (Guest) on October 27, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on October 26, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on October 7, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on October 3, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Sofia (Guest) on September 29, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

George Wanjala (Guest) on September 10, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ann Awino (Guest) on August 15, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

David Nyerere (Guest) on July 30, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Chum (Guest) on May 19, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mariam Kawawa (Guest) on May 7, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on April 15, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Sarah Karani (Guest) on March 31, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Betty Kimaro (Guest) on February 19, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Chris Okello (Guest) on February 10, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on January 26, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Benjamin Masanja (Guest) on January 24, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Okello (Guest) on January 18, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Warda (Guest) on November 20, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Kenneth Murithi (Guest) on November 9, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Tabu (Guest) on August 29, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Ruth Wanjiku (Guest) on August 27, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

John Lissu (Guest) on August 25, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Joseph Kawawa (Guest) on August 1, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Esther Nyambura (Guest) on July 30, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Maulid (Guest) on July 25, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nancy Kawawa (Guest) on July 10, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Njeri (Guest) on May 16, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Dorothy Nkya (Guest) on May 11, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Josephine (Guest) on April 29, 2022

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Mtangi (Guest) on April 18, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Dorothy Nkya (Guest) on April 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Hekima (Guest) on March 28, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anna Malela (Guest) on February 26, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mwafirika (Guest) on February 6, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Charles Wafula (Guest) on January 29, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 4, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

James Kawawa (Guest) on January 2, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joyce Aoko (Guest) on December 1, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Samuel Were (Guest) on December 1, 2021

😊🀣πŸ”₯

Irene Akoth (Guest) on November 24, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mariam (Guest) on November 20, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 30, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Simon Kiprono (Guest) on October 12, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More