Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Featured Image

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi Kama Ninakufa.

Mke Akamwambia Nipe Namba Yako Ya Siri Nifungue Simu Yako.

Mume AkasemaπŸ‘‰πŸ‘‰ Basi Acha Tu; Kila Nafsi Itaonja Mauti

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Martin Otieno (Guest) on July 22, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

George Tenga (Guest) on June 16, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rose Kiwanga (Guest) on June 12, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Gumka (Guest) on June 3, 2024

Hiyo hatari sana

Nancy Kabura (Guest) on June 3, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on May 16, 2024

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on May 15, 2024

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Victor Kimario (Guest) on April 13, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sarafina (Guest) on March 30, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Christopher Oloo (Guest) on March 19, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on February 28, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

David Sokoine (Guest) on February 9, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Shukuru (Guest) on January 13, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

James Kawawa (Guest) on December 19, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Margaret Anyango (Guest) on December 9, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Margaret Mahiga (Guest) on December 4, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Sumari (Guest) on November 30, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on November 28, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 31, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on September 21, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on September 9, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on August 16, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on August 9, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Omari (Guest) on July 13, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Peter Tibaijuka (Guest) on July 10, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Zainab (Guest) on June 6, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mary Njeri (Guest) on May 22, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Raha (Guest) on May 18, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on May 10, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on May 6, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on April 2, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on March 25, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mrope (Guest) on March 2, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on February 19, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Khamis (Guest) on February 13, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on January 9, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

John Mwangi (Guest) on December 12, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Peter Otieno (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Monica Adhiambo (Guest) on October 19, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Betty Cheruiyot (Guest) on October 7, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Francis Mrope (Guest) on October 2, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Grace Minja (Guest) on September 16, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 12, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Husna (Guest) on September 3, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Michael Onyango (Guest) on September 1, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Mbise (Guest) on August 28, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on August 21, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

John Lissu (Guest) on August 21, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Victor Sokoine (Guest) on August 19, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

John Malisa (Guest) on July 25, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Abubakar (Guest) on July 25, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on July 16, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on June 25, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on June 20, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Tabitha Okumu (Guest) on May 11, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Alice Wanjiru (Guest) on May 10, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 9, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on April 8, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ali (Guest) on March 13, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Related Posts

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More