Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

4. Ticha:"Coach wa Arsenal anaitwa ARSENE,wa Man-city anaitwa MANCINI….Je wa
Liverpool anaitwaje?

ZUZU:"LIVER."

5 Ticha:"Ukiwa na mbuzi 10,wezi waje waibe 5,utabaki na nini?"

ZUZU:"Hasira nyingi sana!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Diana Mallya (Guest) on April 29, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on April 6, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Fikiri (Guest) on March 16, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Moses Kipkemboi (Guest) on March 12, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on February 6, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on January 12, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Kenneth Murithi (Guest) on January 6, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Jackson Makori (Guest) on October 28, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on October 15, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Patrick Mutua (Guest) on September 23, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on August 23, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mwalimu (Guest) on August 6, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

George Mallya (Guest) on July 11, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Baraka (Guest) on June 17, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Samuel Were (Guest) on June 7, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Mary Njeri (Guest) on April 22, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on April 8, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ann Awino (Guest) on April 4, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on March 27, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Betty Akinyi (Guest) on March 17, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Elizabeth Mrema (Guest) on March 12, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on March 8, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on March 5, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on March 1, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Lucy Wangui (Guest) on February 28, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Anna Mchome (Guest) on February 20, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on January 25, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Lucy Mushi (Guest) on January 23, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jamila (Guest) on January 21, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Lowassa (Guest) on January 7, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on December 20, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Kevin Maina (Guest) on December 17, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Warda (Guest) on December 12, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Chris Okello (Guest) on December 4, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on November 11, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on November 8, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

David Chacha (Guest) on October 23, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on October 18, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lydia Mahiga (Guest) on October 1, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Elizabeth Mtei (Guest) on September 22, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Rubea (Guest) on September 4, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Susan Wangari (Guest) on August 27, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Carol Nyakio (Guest) on August 25, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on August 19, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rehema (Guest) on July 29, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Joseph Njoroge (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Agnes Sumaye (Guest) on July 23, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Peter Mbise (Guest) on June 27, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Joyce Aoko (Guest) on June 22, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on June 4, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 8, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on May 4, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joseph Kitine (Guest) on May 3, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on April 22, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 13, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Related Posts

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More