Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kisa cha mzaramo na mchaga

Featured Image

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=
Na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki
yako nakukuongeza laki nyingine.
MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela aiwezi mpita akaenda kutibiwa.
MZARAMO: "unaumwa nini?"
MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.."
MZARAMO: "sawa, toa laki kabisa.."
Mchaga akatoa.
MZARAMO akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.."
MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?"
MZARAMO: "Umepona karibu tena.."
Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu nasahau
sanaaaaa.."
MZARAMO akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..'
MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..'
MZARAMO: "nesi naomba kikopo no.27.."
MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?"
MZARAMO: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Mahiga (Guest) on July 20, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on June 27, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mercy Atieno (Guest) on June 27, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Victor Malima (Guest) on June 1, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on May 20, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Guest (Guest) on August 10, 2025

noma sana

Yusra (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Thomas Mtaki (Guest) on April 24, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on April 3, 2024

😊🀣πŸ”₯

Charles Wafula (Guest) on April 1, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Husna (Guest) on February 22, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Stephen Kangethe (Guest) on January 31, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on January 24, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on January 20, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Shamsa (Guest) on January 9, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 9, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Nora Kidata (Guest) on January 8, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on January 4, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Grace Mligo (Guest) on December 28, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on December 23, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Vincent Mwangangi (Guest) on December 19, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Sumaye (Guest) on December 6, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 4, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on September 13, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Said (Guest) on August 14, 2023

Mchaga Noma

Ryan (Guest) on July 12, 2024

Noma kweli

Joseph Njoroge (Guest) on August 9, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Vincent Mwangangi (Guest) on August 5, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Ruth Kibona (Guest) on July 31, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on June 24, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Chiku (Guest) on June 24, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mwajabu (Guest) on June 17, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Daniel Obura (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Betty Akinyi (Guest) on June 7, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Frank Macha (Guest) on May 14, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on May 12, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on May 6, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nassar (Guest) on April 28, 2023

Asante Ackyshine

Agnes Njeri (Guest) on April 28, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Issa (Guest) on April 22, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Nuru (Guest) on March 12, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

David Nyerere (Guest) on February 19, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on February 12, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on February 10, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Malisa (Guest) on December 28, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on December 25, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Abubakari (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Halima (Guest) on November 26, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Andrew Mchome (Guest) on November 15, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Grace Mushi (Guest) on September 30, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Elizabeth Malima (Guest) on September 29, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on September 28, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Margaret Anyango (Guest) on September 26, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on September 17, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Binti (Guest) on September 9, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Victor Kamau (Guest) on August 29, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on August 28, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Kawawa (Guest) on August 26, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on August 5, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Related Posts

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More