Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina.

Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.

Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.

Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.

Wakaingia msituni kila mtu njia yake.

… Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa.

Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini… alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa.

Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, β€œVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?”

Mkenya akamjibu: β€œMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!”
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Janet Wambura (Guest) on November 27, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on November 9, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Grace Mushi (Guest) on September 14, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Anna Mahiga (Guest) on September 12, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Kazija (Guest) on September 2, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Akinyi (Guest) on September 1, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Sarafina (Guest) on August 16, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Joseph Kawawa (Guest) on August 12, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Betty Kimaro (Guest) on July 30, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Betty Cheruiyot (Guest) on July 15, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on June 17, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on March 4, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Peter Otieno (Guest) on March 3, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on February 15, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on February 10, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on January 24, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Daniel Obura (Guest) on January 17, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Edwin Ndambuki (Guest) on December 4, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Kevin Maina (Guest) on December 3, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on November 11, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Susan Wangari (Guest) on October 21, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Malecela (Guest) on October 13, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Ochieng (Guest) on October 12, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Tabu (Guest) on September 29, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on September 17, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Peter Mbise (Guest) on August 22, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on August 12, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on August 10, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

David Chacha (Guest) on August 5, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on August 4, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mazrui (Guest) on July 31, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Grace Wairimu (Guest) on July 23, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on July 22, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on July 5, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Agnes Sumaye (Guest) on May 24, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Tibaijuka (Guest) on May 17, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Victor Sokoine (Guest) on April 18, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on March 24, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on March 24, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on March 20, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Omari (Guest) on February 7, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Yahya (Guest) on February 4, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Rahma (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Jane Muthui (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

David Chacha (Guest) on January 6, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Chacha (Guest) on January 2, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwanais (Guest) on December 27, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nuru (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lucy Mahiga (Guest) on December 17, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Masika (Guest) on November 25, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joseph Kitine (Guest) on October 23, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on September 15, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Mussa (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alice Jebet (Guest) on August 3, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on July 22, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on May 26, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nancy Kawawa (Guest) on April 4, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on March 28, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Kiwanga (Guest) on March 27, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Sokoine (Guest) on February 26, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More