Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Featured Image

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio kwani vp?

Mbona hatuoni matunda yake?

Kwani mi nlienda na miche ya mipapai au miembe au umeambiwa TIA, IFM na IAA wanakodisha Mashamba ya nyanya ????????

Hamna sio hvyo umeenda mbali kaka

Kama kilomita ngapi?

Haya yaishe bhana…

Ukome kwa kiherehere

Nitukane tuu unakumbuka kuna SKU nlkupa buku ya nauli?

Nitajie namba yako ya tgo pesa nkuwekee hyo buku

Kwani mi nimesema unilipe

Utajua mwenyewe ila nakutumia kwenye namba uliyonitext wee si umefanya ujinga mi nafanya upumbavu

Simple lyke dat Viherehere huwa tunawajbu HVOβ€¦β€¦πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Edward Chepkoech (Guest) on December 29, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Moses Kipkemboi (Guest) on December 25, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Mwalimu (Guest) on December 12, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwagonda (Guest) on November 1, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Joyce Mussa (Guest) on October 26, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rahma (Guest) on October 24, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Rukia (Guest) on October 3, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Francis Mrope (Guest) on August 30, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on August 30, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Samuel Omondi (Guest) on July 18, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Jacob Kiplangat (Guest) on July 2, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on June 29, 2019

😊🀣πŸ”₯

Alice Mwikali (Guest) on June 23, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on June 19, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Alex Nakitare (Guest) on May 23, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on May 21, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Bernard Oduor (Guest) on May 9, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Francis Njeru (Guest) on April 1, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Jane Muthui (Guest) on March 2, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jamal (Guest) on February 23, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Mallya (Guest) on February 1, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on January 29, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on January 15, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Samson Mahiga (Guest) on January 9, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Janet Sumaye (Guest) on December 9, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on November 29, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on November 10, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on October 23, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on September 28, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

George Wanjala (Guest) on August 21, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on June 29, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwakisu (Guest) on June 28, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mjaka (Guest) on June 22, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

David Chacha (Guest) on June 14, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Peter Tibaijuka (Guest) on April 15, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Zuhura (Guest) on March 30, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Frank Macha (Guest) on March 11, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Mary Mrope (Guest) on March 10, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Shani (Guest) on February 17, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Raphael Okoth (Guest) on January 11, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Wafula (Guest) on December 30, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

James Kimani (Guest) on December 18, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Elijah Mutua (Guest) on December 17, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on December 15, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joyce Nkya (Guest) on November 30, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on November 26, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on November 19, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Chum (Guest) on November 19, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Thomas Mtaki (Guest) on November 17, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

James Kimani (Guest) on November 9, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Mwikali (Guest) on October 20, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Miriam Mchome (Guest) on October 9, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on September 17, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Monica Adhiambo (Guest) on August 26, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

John Kamande (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Faith Kariuki (Guest) on July 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on July 21, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Margaret Anyango (Guest) on July 3, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Ann Awino (Guest) on July 2, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

Related Posts

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More