Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?

JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.

MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?

ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.

MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.

MWAL: Na wewe James??

JAMES: mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"

Akameza mate kisha akaendelea….

"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."

MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??

JENNY: Nataka kuwa mke wa James.!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Moses Kipkemboi (Guest) on July 22, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Aziza (Guest) on July 8, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Rose Amukowa (Guest) on June 24, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Mchawi (Guest) on June 18, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Mushi (Guest) on June 7, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on June 7, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on May 21, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on May 15, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Samuel Omondi (Guest) on April 29, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Jacob Kiplangat (Guest) on April 11, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Anna Mahiga (Guest) on April 8, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Yusra (Guest) on March 18, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Shamim (Guest) on March 2, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Isaac Kiptoo (Guest) on February 7, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

James Mduma (Guest) on January 24, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Janet Wambura (Guest) on January 22, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on January 5, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on November 12, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on November 9, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on November 6, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Edward Chepkoech (Guest) on October 14, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on September 3, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on August 14, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on August 13, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samuel Were (Guest) on August 10, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Peter Mbise (Guest) on July 22, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Tabitha Okumu (Guest) on July 10, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Victor Kamau (Guest) on July 2, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on June 27, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 21, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on June 18, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Alice Mrema (Guest) on June 7, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Wilson Ombati (Guest) on June 1, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on May 30, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on May 12, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Warda (Guest) on April 28, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Martin Otieno (Guest) on April 27, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Patrick Mutua (Guest) on April 19, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on April 10, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on April 3, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Edith Cherotich (Guest) on April 2, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alex Nyamweya (Guest) on March 26, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Stephen Malecela (Guest) on January 3, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Joy Wacera (Guest) on December 10, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Edward Chepkoech (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on November 24, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on November 2, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Salima (Guest) on October 27, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Jane Malecela (Guest) on October 25, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on October 23, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on October 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

John Mwangi (Guest) on August 23, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Elizabeth Malima (Guest) on August 22, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Nora Kidata (Guest) on July 26, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on July 3, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Abdillah (Guest) on June 28, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Muslima (Guest) on April 27, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

David Kawawa (Guest) on April 5, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Irene Akoth (Guest) on March 14, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More