Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Featured Image

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yenyewe tabu.. kwahio picha haikufunguka na kwa vile niliona itachelewa kufunguka na ataona sikumjibu basi nami..

Nikampelekea msg nikamuandikia umependeza saana bosi mashaallah…!!
sasa baada tu ya kumfika msg.. na huku picha ikafunguka kumbe picha ya Sokwe..!!
Basi Kaniambia kesho niende ofsini kwake kuna barua yangu..
Nahisi hyo barua ina pesa, hapa cjalala, nmekosa usingizi kabisa,nawaza ninunulie nn hyo pesa.Na kesho asubuhi sa 12 asubuhi atanikuta ofisini kwake naisubiri barua, sipendagi ujinga mimi.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Mugendi (Guest) on July 15, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on July 7, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on June 1, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on May 21, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Ann Wambui (Guest) on May 21, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Yusuf (Guest) on May 21, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on April 29, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on April 16, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Andrew Mchome (Guest) on April 9, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Henry Sokoine (Guest) on April 5, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on April 2, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on February 24, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Henry Sokoine (Guest) on January 19, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on January 11, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Francis Njeru (Guest) on January 10, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on January 10, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ahmed (Guest) on January 3, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

David Chacha (Guest) on December 27, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on December 26, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Kahina (Guest) on December 20, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

James Mduma (Guest) on December 13, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Abdillah (Guest) on December 8, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joyce Mussa (Guest) on December 7, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on December 5, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mary Kidata (Guest) on November 30, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on October 22, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on October 22, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on September 28, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on September 18, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

James Kawawa (Guest) on September 9, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on August 26, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Patrick Kidata (Guest) on August 8, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Mwikali (Guest) on August 7, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Majid (Guest) on July 25, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Azima (Guest) on June 20, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Frank Sokoine (Guest) on June 10, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Agnes Lowassa (Guest) on June 6, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

David Kawawa (Guest) on June 1, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

George Mallya (Guest) on May 27, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on April 1, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Husna (Guest) on March 24, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Sokoine (Guest) on March 2, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Jane Muthoni (Guest) on February 26, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mary Njeri (Guest) on February 24, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on February 16, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Amollo (Guest) on December 28, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on November 26, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Waithera (Guest) on November 24, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rukia (Guest) on November 14, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Jacob Kiplangat (Guest) on October 31, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on October 24, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on October 23, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Edward Lowassa (Guest) on October 12, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Shamsa (Guest) on September 7, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Daudi (Guest) on August 15, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Agnes Njeri (Guest) on August 14, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 12, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nancy Kawawa (Guest) on July 14, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mwalimu (Guest) on July 8, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Related Posts

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More