Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?





HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card inamaanisha mchezaji awache kucheza na atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light! Yellow- Ilani na Red - Simama
HUSBAND: Yeah yeah swity! Ndio hivyo.
WIFE: Na je Green Card??
HUSBAND: Aaaah! Hakuna kitu kama hicho.





WIFE: Nataka Arsenal ishinde world cup.
HUSBAND: [kimya]
WIFE: Ni nani yule mzee anakaa kama Mr. Bean??
HUSBAND: Yeees swity, yule ni kocha wa Arsenal, anaitwa Arsene Wenger.
WIFE: Oooooh! inamaanisha yule kocha mwengine ni Chelsea Wenger??
HUSBAND: [Kabadilisha channel]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Francis Njeru (Guest) on July 4, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on June 26, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Guest (Guest) on December 31, 2025

ndw

Jane Muthui (Guest) on May 23, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Abdullah (Guest) on May 12, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joseph Mallya (Guest) on April 28, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on April 15, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Grace Minja (Guest) on March 18, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Warda (Guest) on March 13, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Simon Kiprono (Guest) on March 11, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on February 25, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samuel Were (Guest) on January 21, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Susan Wangari (Guest) on January 8, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Dorothy Nkya (Guest) on December 10, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on November 26, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Sarah Karani (Guest) on November 26, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on November 22, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on October 22, 2023

😊🀣πŸ”₯

Violet Mumo (Guest) on October 1, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mashaka (Guest) on September 28, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Tabitha Okumu (Guest) on September 28, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Stephen Malecela (Guest) on September 1, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Kenneth Murithi (Guest) on August 20, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on August 19, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Zainab (Guest) on August 15, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

John Kamande (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on July 31, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Anna Mahiga (Guest) on May 14, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 12, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Alex Nyamweya (Guest) on May 4, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Abdillah (Guest) on May 4, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Josephine Nekesa (Guest) on April 20, 2023

🀣πŸ”₯😊

Raphael Okoth (Guest) on March 25, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on March 19, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on February 11, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Anna Malela (Guest) on February 3, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Diana Mallya (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Samson Tibaijuka (Guest) on January 8, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Sharon Kibiru (Guest) on December 31, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine (Guest) on December 26, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

David Musyoka (Guest) on December 19, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

David Ochieng (Guest) on December 6, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on November 27, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

John Lissu (Guest) on November 27, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on November 27, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Betty Kimaro (Guest) on November 26, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on November 6, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Biashara (Guest) on October 26, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Irene Akoth (Guest) on October 24, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Kevin Maina (Guest) on October 10, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on October 3, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Nancy Kabura (Guest) on October 3, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on August 30, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Kevin Maina (Guest) on July 31, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on July 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jabir (Guest) on July 13, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Kimario (Guest) on July 11, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Grace Wairimu (Guest) on June 25, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Alex Nyamweya (Guest) on June 19, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on May 20, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Related Posts

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More