Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Featured Image
Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa
kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki;
MCHUNGAJI: Kijana, tuko katika harakati za
kujenga kanisa, jitafutie nafasi katika ufalme wa
mbingu kwa kuchangia ujenzi huu. Na Mungu
atakubariki zaidi

PEDESHE: Samahani Mchungaji haitakuwa vizuri
mimi kuchangia kanisa, fedha zangu ni haramu,
huwa nazipata kwa utapeli na kuuza madawa ya
kulevya.
MCHUNGAJI: Yote ni heri, pesa yako tutatumia
kwa kujenga eneo la choo we toa tu!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kenneth Murithi (Guest) on June 10, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on May 3, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on April 19, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on April 15, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Omari (Guest) on February 19, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Bernard Oduor (Guest) on December 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Carol Nyakio (Guest) on December 1, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mchome (Guest) on November 28, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 27, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on November 20, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on November 16, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Mariam (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Jane Muthoni (Guest) on October 19, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Warda (Guest) on August 10, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Sarah Karani (Guest) on August 4, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Charles Wafula (Guest) on July 31, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on July 26, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on July 21, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on July 4, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on June 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Janet Mwikali (Guest) on May 23, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on May 6, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on April 22, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on April 17, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

George Wanjala (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

James Kawawa (Guest) on April 9, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mhina (Guest) on March 22, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Moses Mwita (Guest) on March 13, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Esther Cheruiyot (Guest) on March 13, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on March 2, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on January 11, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Anna Sumari (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Francis Mrope (Guest) on December 15, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mwakisu (Guest) on December 12, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on December 8, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Josephine (Guest) on December 8, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Kibwana (Guest) on December 7, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on September 25, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on September 12, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Violet Mumo (Guest) on September 11, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on August 5, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Isaac Kiptoo (Guest) on July 21, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rahma (Guest) on July 17, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 9, 2022

😊🀣πŸ”₯

Agnes Njeri (Guest) on June 16, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on June 10, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Nchi (Guest) on June 6, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 31, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mazrui (Guest) on May 12, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

James Malima (Guest) on May 10, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mjaka (Guest) on April 26, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on April 12, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on April 8, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Vincent Mwangangi (Guest) on April 6, 2022

🀣πŸ”₯😊

Susan Wangari (Guest) on February 11, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on December 12, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nora Kidata (Guest) on November 25, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on November 18, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Maimuna (Guest) on November 10, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Related Posts

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More