Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nikalipe ada nimetumia shilingi alfu 30 kubeti
BABA : Unasema nini we mpumbavu mshenzi
mkubwa? Nimekukanya mara ngapi kuhusu kubeti?
DOGO : Lakini baba
BABA : Lakini baba nini ngoja urudi utaona
ntakachofanya.
DOGO : Nilitaka kukwambia kuwa nimeshinda
shilingi milioni 3
BABA : Ndio hayo ninayosema wewe mpumbavu
sana kwanini hukutumia laki nzima kubeti? Si
ungepata pesa nyingi zaidi? Ngoja urudi niwataarifu
ndugu zako kuhusu uulivyo na akili za kuamua
haraka mwanangu mpenzi…

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kawawa (Guest) on July 12, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on May 17, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Paul Kamau (Guest) on April 24, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

David Ochieng (Guest) on March 18, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Binti (Guest) on March 2, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Sumari (Guest) on February 29, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on February 6, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Elizabeth Mtei (Guest) on December 15, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on December 7, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on November 20, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on November 15, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on November 12, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on November 9, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on November 7, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

John Mwangi (Guest) on October 1, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on September 29, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Kazija (Guest) on September 20, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Edward Chepkoech (Guest) on September 15, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Violet Mumo (Guest) on September 14, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on August 27, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Tambwe (Guest) on July 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Elizabeth Mrema (Guest) on July 27, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on July 24, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on July 24, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on June 1, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Jabir (Guest) on May 5, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on April 20, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Edward Chepkoech (Guest) on March 28, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Alex Nyamweya (Guest) on March 8, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Khamis (Guest) on February 21, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Stephen Kangethe (Guest) on February 17, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on February 14, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Abdullah (Guest) on February 2, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Ann Wambui (Guest) on January 22, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

John Mwangi (Guest) on January 3, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on December 30, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on December 17, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Ali (Guest) on December 13, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

John Mushi (Guest) on December 11, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on December 6, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Sokoine (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on November 26, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Shamim (Guest) on October 10, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Andrew Mchome (Guest) on October 5, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on September 10, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on September 5, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Grace Wairimu (Guest) on August 31, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on July 30, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Lucy Kimotho (Guest) on July 12, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Abubakar (Guest) on July 9, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on April 21, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 6, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on February 13, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jane Muthoni (Guest) on February 6, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 6, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on January 8, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Linda Karimi (Guest) on December 30, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Charles Wafula (Guest) on December 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More