Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Featured Image

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambaia:





MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha Maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o
MSICHANA: Aaah! Icho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie
MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.
MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe
Baba mtu akawatazamaaaa kisha akasema
BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli
MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana hupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!
BABA: Sawa! Usisahau kumpatie na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!
Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GOT PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Elizabeth Mtei (Guest) on July 19, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Catherine Mkumbo (Guest) on June 17, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mariam Hassan (Guest) on June 15, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on June 14, 2024

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Sarah Achieng (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 7, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Kimario (Guest) on May 23, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on May 23, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on May 5, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Stephen Mushi (Guest) on April 30, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on April 28, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Halimah (Guest) on April 14, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on April 7, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Issack (Guest) on March 31, 2024

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sarah Mbise (Guest) on March 29, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

David Chacha (Guest) on March 17, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Elizabeth Malima (Guest) on March 15, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 4, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on February 26, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Malela (Guest) on February 15, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Rubea (Guest) on January 5, 2024

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on December 23, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Anna Malela (Guest) on November 26, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Alex Nakitare (Guest) on November 15, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Violet Mumo (Guest) on November 14, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on October 30, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on October 19, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on October 18, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Kibwana (Guest) on October 13, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Abubakar (Guest) on October 12, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Raphael Okoth (Guest) on October 9, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Amir (Guest) on September 29, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Grace Mligo (Guest) on September 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Guest (Guest) on September 3, 2025

Utakuwa kichaa

Diana Mallya (Guest) on September 10, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

James Mduma (Guest) on August 20, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mhina (Guest) on August 10, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Peter Mbise (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on June 7, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Irene Akoth (Guest) on June 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on May 31, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mchawi (Guest) on May 28, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lucy Wangui (Guest) on May 13, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Elijah Mutua (Guest) on April 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on March 29, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on March 9, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on March 2, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Jane Muthui (Guest) on February 24, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Alice Wanjiru (Guest) on February 16, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Josephine Nduta (Guest) on February 8, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Edward Chepkoech (Guest) on January 3, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Frank Macha (Guest) on December 22, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Mwikali (Guest) on December 10, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Charles Mboje (Guest) on December 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on December 6, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Salum (Guest) on December 5, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Tabitha Okumu (Guest) on December 2, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on November 25, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on November 21, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Related Posts

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More