Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Featured Image

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaamua
amfuate amtemee cheche

MSHIKAJI- mambo dada?

DEMU- pouwa

MSHIKAJI-
umependezaa!!!

DEMU- asante.

MSHIKAJI- unaweza ukanisaidia
namba
yako ya simu……..
maana duh
nmekukubali
kinyama.

Demu baada ya kuambiwa vile
akazama kwenye pochi lake akatoa
noti ya
sh.10000 akaandika namba yake
kwenye
noti akampa mshikaji.

Mshikaji kapokea ile noti kachana
sehem
iliyoandikwa namba halafu
kamrudishia
Demu noti yake..!!!

NANI ANA DHARAU
NA NANI JEURI..
DEMU AU MSHIKAJI??!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

George Tenga (Guest) on June 16, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on May 29, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Issack (Guest) on May 24, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mary Kendi (Guest) on May 14, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lucy Mahiga (Guest) on April 25, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Brian Karanja (Guest) on February 23, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on February 21, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Philip Nyaga (Guest) on February 11, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Kiza (Guest) on February 9, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anthony Kariuki (Guest) on January 21, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on December 18, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

James Mduma (Guest) on October 19, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on October 6, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lucy Mahiga (Guest) on September 25, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on September 23, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on September 17, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Rahma (Guest) on August 29, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mgeni (Guest) on August 27, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on August 12, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Salma (Guest) on August 6, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alice Wanjiru (Guest) on July 16, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on June 18, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Shamsa (Guest) on June 10, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Grace Minja (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on May 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on May 3, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

James Kimani (Guest) on May 2, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on April 28, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on April 22, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on March 18, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mercy Atieno (Guest) on February 19, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on February 15, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on January 21, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on January 17, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Josephine Nduta (Guest) on December 25, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jane Muthoni (Guest) on December 21, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joseph Kawawa (Guest) on December 17, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Bahati (Guest) on December 10, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Francis Mtangi (Guest) on December 5, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mariam (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Charles Wafula (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Alice Wanjiru (Guest) on November 10, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on August 25, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Salima (Guest) on August 24, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Margaret Anyango (Guest) on August 23, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Athumani (Guest) on August 22, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Benjamin Masanja (Guest) on July 11, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on June 17, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Benjamin Kibicho (Guest) on April 19, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on April 5, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Binti (Guest) on March 21, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Josephine (Guest) on March 14, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

John Mushi (Guest) on March 1, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Alice Jebet (Guest) on February 27, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

John Kamande (Guest) on January 29, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mwanahawa (Guest) on January 11, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Diana Mallya (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More