Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?





HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card inamaanisha mchezaji awache kucheza na atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light! Yellow- Ilani na Red - Simama
HUSBAND: Yeah yeah swity! Ndio hivyo.
WIFE: Na je Green Card??
HUSBAND: Aaaah! Hakuna kitu kama hicho.





WIFE: Nataka Arsenal ishinde world cup.
HUSBAND: [kimya]
WIFE: Ni nani yule mzee anakaa kama Mr. Bean??
HUSBAND: Yeees swity, yule ni kocha wa Arsenal, anaitwa Arsene Wenger.
WIFE: Oooooh! inamaanisha yule kocha mwengine ni Chelsea Wenger??
HUSBAND: [Kabadilisha channel]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anthony Kariuki (Guest) on October 25, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on October 20, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on October 1, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on September 29, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Hawa (Guest) on September 11, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Fredrick Mutiso (Guest) on September 10, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rashid (Guest) on August 21, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Wilson Ombati (Guest) on August 16, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on July 26, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on July 25, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Francis Mtangi (Guest) on June 4, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

George Wanjala (Guest) on May 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Stephen Kangethe (Guest) on May 9, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Furaha (Guest) on April 27, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nancy Akumu (Guest) on April 9, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on March 3, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rabia (Guest) on February 17, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on February 2, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on November 29, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alex Nakitare (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Andrew Mahiga (Guest) on September 9, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joyce Aoko (Guest) on July 22, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Anna Mahiga (Guest) on July 10, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mwanaidi (Guest) on June 27, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on May 22, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Francis Mrope (Guest) on May 15, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on May 11, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Halimah (Guest) on April 22, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Robert Ndunguru (Guest) on April 21, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Makame (Guest) on April 18, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Carol Nyakio (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Amina (Guest) on April 9, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Waithera (Guest) on April 3, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mariam Hassan (Guest) on March 13, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Fadhila (Guest) on February 19, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lydia Mutheu (Guest) on January 1, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Lissu (Guest) on December 26, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Christopher Oloo (Guest) on November 20, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Charles Mrope (Guest) on November 15, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Francis Mtangi (Guest) on October 29, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on October 25, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jaffar (Guest) on October 14, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Malima (Guest) on September 20, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mary Kendi (Guest) on September 19, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Kahina (Guest) on September 14, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mercy Atieno (Guest) on September 9, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

George Tenga (Guest) on September 6, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Lucy Kimotho (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Francis Mrope (Guest) on August 15, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Halima (Guest) on July 28, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Jane Muthui (Guest) on July 25, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Henry Mollel (Guest) on June 15, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

David Musyoka (Guest) on June 4, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on May 31, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on May 15, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 22, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More