Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Featured Image

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

02.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa wanafunzi walioshika nafasi ya kwanza.
03.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa tatu, wanageukia Siasa na kuwaongoza wote hapo juu. Yaani wa kwanza na wa pili.
04.πŸ‘‰ Wale waliofeli, wanaenda Jeshi, hawa wakigoma, basi hao wa juu wote hawana raha.
05.πŸ‘‰ Wale waliopata Zero na waliokataa shule wanakuwa waganga wa kienyeji, wote hapo juu watamtafuta huyu, pale mambo yao yanapokwenda kombo. Tuache kudharauliana, kila mtu ni boss akiwa kwenye nafasi yake. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‰πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸƒπŸƒπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Janet Mwikali (Guest) on April 11, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on March 31, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on March 26, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Elijah Mutua (Guest) on March 18, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Janet Mwikali (Guest) on March 17, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on March 13, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Janet Mwikali (Guest) on March 4, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Frank Macha (Guest) on February 27, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alice Jebet (Guest) on January 25, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Monica Nyalandu (Guest) on January 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on December 8, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on November 25, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on November 16, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on November 1, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

George Mallya (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Francis Njeru (Guest) on October 7, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on October 5, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Joy Wacera (Guest) on August 18, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on August 11, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on August 8, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on July 26, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Ahmed (Guest) on July 23, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Frank Sokoine (Guest) on July 20, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on June 22, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Sekela (Guest) on June 20, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Vincent Mwangangi (Guest) on June 11, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on May 16, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Wande (Guest) on May 9, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Andrew Odhiambo (Guest) on May 9, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Francis Njeru (Guest) on April 22, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Kitine (Guest) on April 8, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on March 30, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on March 26, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Betty Akinyi (Guest) on March 9, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Neema (Guest) on March 4, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Irene Akoth (Guest) on February 3, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on January 13, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Kimotho (Guest) on December 23, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Ahmed (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Abdillah (Guest) on October 24, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Robert Okello (Guest) on October 19, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on October 4, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on September 24, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Joyce Nkya (Guest) on September 16, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on September 15, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Husna (Guest) on September 14, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Stephen Kangethe (Guest) on August 26, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on August 19, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

David Musyoka (Guest) on August 6, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on July 8, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Maida (Guest) on July 3, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Grace Mushi (Guest) on July 1, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Edwin Ndambuki (Guest) on June 30, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Alice Wanjiru (Guest) on June 21, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Sarah Mbise (Guest) on April 29, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mchuma (Guest) on April 28, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Related Posts

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More