Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Featured Image

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18.

Wakati fundi anaendelea na kazi kumbe mmeo huyu dada alishafika. hakutaka kumjulisha mkeo, kwa nia nzuri tu ya kumfanyia suprise, kwani alikuja na mazaga zaga kibao. Hiyo aliingia kwa kunyatia hadi kwenye mlango wa chumbani kwao. Ghafla akasikia mazungumzo ya mkeo na fundi ndani. Mazungumzo yalikuwaje? fuatilia hapa chini

Mama X: Fanya haraka mme wangu amekaribia
Fundi: Nakaribia kumaliza, nisaidie kuchomeka vizuri upande wako (akikusudia chaga)
Mama X: Mbona haiingii
Fundi: Ingiza kwa upande upande
Mama X: Sukuma kwa nguvu
Fundi: Angalia usiumie
Mama X: Hamna shida imeingia

Wakati jamaa akiendelea kusikiliza mlangoni, fundi akaweza godoro juu ya kitanda na mama x akajitupa kitandani kujaribu kama kimetengamaa. mara chaga akachomoka na kuanguaka chini. Nini kilifuata

Mama x: Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiii(miguno) "my God, mbona hivi"
Fundi : Pole sana
Mama X: sasa?
Fundi: Ngoja nichomeke tena
Mama X: Yaan wewe, utaacha mme wangu afike hatujamaliza
Fundi: Usijali namaliza sasa hivi

Baada ya dakika chache, fundi akamuaga mama na kumwambia tayari, sasa naona umefurahi. Kutoka tu mlangoni akakutana uso kwa uso na jamaa amekunja ndita kama matuta ya viatu. Gues what happened?

Kitu gani kitatokea kisia toa maoni yako kama ni ww ungefanyaje?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nassar (Guest) on May 3, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Agnes Lowassa (Guest) on April 28, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

David Musyoka (Guest) on April 28, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Michael Onyango (Guest) on April 5, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 1, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Elizabeth Mrema (Guest) on March 16, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on March 3, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Faiza (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Hellen Nduta (Guest) on February 1, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Andrew Mchome (Guest) on January 27, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on December 4, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on November 10, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Mary Mrope (Guest) on October 31, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Martin Otieno (Guest) on October 29, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on September 15, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on September 2, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Joseph Njoroge (Guest) on August 23, 2016

🀣πŸ”₯😊

Michael Mboya (Guest) on August 15, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on August 10, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on July 24, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on July 7, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on July 1, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Malecela (Guest) on June 14, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Lydia Wanyama (Guest) on June 12, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on May 31, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mwanaisha (Guest) on May 28, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mwagonda (Guest) on May 26, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Lucy Mahiga (Guest) on May 20, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Alice Mwikali (Guest) on May 20, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Peter Otieno (Guest) on May 16, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Salima (Guest) on May 11, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Halimah (Guest) on March 7, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Chris Okello (Guest) on February 20, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on February 12, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on January 9, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Alice Wanjiru (Guest) on December 31, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Nyalandu (Guest) on December 14, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on November 15, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Lydia Mutheu (Guest) on November 11, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Victor Malima (Guest) on November 6, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nassor (Guest) on November 6, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alex Nyamweya (Guest) on November 6, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on September 30, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on September 29, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on September 28, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Mrope (Guest) on September 14, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ann Wambui (Guest) on July 16, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Salum (Guest) on July 12, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Mwajuma (Guest) on July 5, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

James Kimani (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on May 2, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on April 29, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Masika (Guest) on April 12, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Lydia Mahiga (Guest) on April 4, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More