Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Featured Image

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe yake maana ninapokunywa soda napenda kila mtu anywe
WATU :Β Ha! Ha! Ha! Haaaa!
JAMAA :Β Nipe mchemsho na kila mtu mpe wa kwake maana ninapokula mchemsho napenda kila mtu ale wake
WATU:Β Watu weweeee! Tena safari hii Na makofi juu..
JAMAA :Β Mhudumu, nipe bili na kila mtu mpe yake maana ninapolipa bili napenda kuona kila mtu analipa yake
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joyce Mussa (Guest) on June 27, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on July 11, 2025

yes

Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on July 11, 2025

sure

Ibrahim (Guest) on June 23, 2024

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

David Sokoine (Guest) on June 5, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on June 2, 2024

😊🀣πŸ”₯

Josephine (Guest) on May 29, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joseph Njoroge (Guest) on May 22, 2024

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Ramadhan (Guest) on March 19, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

James Kawawa (Guest) on February 17, 2024

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on February 4, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Yusuf (Guest) on January 29, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lydia Mahiga (Guest) on January 11, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nahida (Guest) on November 23, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Patrick Kidata (Guest) on November 15, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on November 10, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on October 23, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Mary Njeri (Guest) on October 20, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Catherine Mkumbo (Guest) on October 12, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on September 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

George Tenga (Guest) on September 19, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Elijah Mutua (Guest) on September 9, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on August 24, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

John Mwangi (Guest) on August 17, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Hellen Nduta (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nancy Akumu (Guest) on July 24, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on June 12, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on June 10, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Kimario (Guest) on May 28, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Kimotho (Guest) on May 25, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Edith Cherotich (Guest) on May 13, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Wanjiku (Guest) on May 12, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Tabitha Okumu (Guest) on May 10, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on May 1, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Paul Kamau (Guest) on April 7, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Issa (Guest) on January 29, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Tabu (Guest) on January 22, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Henry Mollel (Guest) on January 20, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Francis Njeru (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Anna Kibwana (Guest) on December 10, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Nancy Kawawa (Guest) on December 8, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on December 2, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on November 15, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on October 17, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Issa (Guest) on October 7, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Zulekha (Guest) on September 28, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Paul Kamau (Guest) on September 23, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Sofia (Guest) on September 5, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Simon Kiprono (Guest) on August 24, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Tibaijuka (Guest) on July 30, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Vincent Mwangangi (Guest) on July 16, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on July 5, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sumaya (Guest) on June 20, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Carol Nyakio (Guest) on June 8, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on May 29, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Ann Awino (Guest) on May 6, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on March 30, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Victor Kamau (Guest) on March 29, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Bakari (Guest) on March 22, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Related Posts

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More