Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mkeΒ­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

Siku ya pili
MUME: Vipi mko salama huko?
MKE: Tupo kama ulivyotuacha
MUME: kwani uko wapi?
MKE: Niko nyumbani napika
MUME: Washa brender kama kweli uko nyumbani
Mke akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Poa ntarudi baada ya masaa mawili

Siku sita baadaeΒ mume akaamua kurudi bila kumtaarifu mkewe alipofika home kamkuta mdada wa kazi yuko peke yake.
MUME: We mama yako yuko wapi?
MDADA: Sijui ameondoka na blender toka asubuhi

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mzee (Guest) on November 9, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Wilson Ombati (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Rubea (Guest) on October 10, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 6, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Joyce Nkya (Guest) on June 25, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Peter Tibaijuka (Guest) on June 23, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Joseph Njoroge (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

John Mushi (Guest) on May 23, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Kimotho (Guest) on May 9, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on April 26, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on April 3, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on March 14, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Malima (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Catherine Mkumbo (Guest) on February 4, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on January 26, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Tabitha Okumu (Guest) on December 18, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

David Sokoine (Guest) on November 29, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Lowassa (Guest) on November 26, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Rose Kiwanga (Guest) on October 11, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Kenneth Murithi (Guest) on October 2, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Sarah Achieng (Guest) on September 17, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on August 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Kawawa (Guest) on July 19, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on June 28, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on June 11, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on June 8, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Carol Nyakio (Guest) on June 7, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anna Malela (Guest) on May 19, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khamis (Guest) on May 15, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on April 21, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Anna Sumari (Guest) on March 24, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on March 20, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Azima (Guest) on March 3, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Edwin Ndambuki (Guest) on January 18, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on January 14, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Umi (Guest) on January 12, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

John Kamande (Guest) on January 3, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Joyce Aoko (Guest) on December 27, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on December 22, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on November 27, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Susan Wangari (Guest) on November 26, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Victor Kimario (Guest) on November 24, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on November 6, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on October 18, 2017

🀣πŸ”₯😊

Anna Malela (Guest) on October 5, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Grace Minja (Guest) on October 5, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Stephen Malecela (Guest) on September 21, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on September 21, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Mwalimu (Guest) on September 16, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on August 22, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Joseph Kawawa (Guest) on August 6, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on July 23, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on June 20, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on June 14, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Moses Kipkemboi (Guest) on May 16, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Diana Mumbua (Guest) on April 24, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on April 23, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Shamim (Guest) on March 23, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Emily Chepngeno (Guest) on March 22, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More