Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao kufika tyu ghafla unakutana na dada yake getini ambaye alikuwa ni mpenzi wako wa zamani, ile kuingia ndani unamuona kaka yake ambaye mlipigana baada ya kukufumania na mke wake, hujakaa vizuri unamuona mama yake ambaye ndiye jimama shangingi lako anayekuweka mjini akupaye jeuri ya kutamba ambapo hata gari unalolitumia alikupa yeye na hataki upajue anapoishi, wakati unataka kuondoka unakutana uso kwa uso na baba yake ambaye alikuwaga wakili wako kwenye kesi ya ubakaji`

πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Amukowa (Guest) on July 15, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Hashim (Guest) on June 27, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Jane Muthui (Guest) on June 1, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on May 23, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Guest (Guest) on December 7, 2025

Very humourous

Elijah Mutua (Guest) on April 10, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Bakari (Guest) on April 7, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mary Njeri (Guest) on February 27, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on February 19, 2024

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Daniel Obura (Guest) on February 18, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mwanakhamis (Guest) on January 30, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 14, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Hamida (Guest) on January 6, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Catherine Mkumbo (Guest) on December 29, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on December 18, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Chacha (Guest) on November 20, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sharon Kibiru (Guest) on November 19, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Jamal (Guest) on September 12, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Anthony Kariuki (Guest) on September 12, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on August 23, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Mjaka (Guest) on August 13, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joseph Kitine (Guest) on August 6, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on June 14, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on May 18, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Vincent Mwangangi (Guest) on May 9, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ibrahim (Guest) on April 27, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Grace Wairimu (Guest) on April 17, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on April 17, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on April 8, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Richard Mulwa (Guest) on April 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 24, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Diana Mumbua (Guest) on March 24, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on March 19, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

George Tenga (Guest) on March 8, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on March 3, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Omari (Guest) on March 3, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Moses Mwita (Guest) on February 20, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Omar (Guest) on February 14, 2023

Asante Ackyshine

Miriam Mchome (Guest) on February 1, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nassor (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Mwita (Guest) on January 20, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Chum (Guest) on January 5, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Samuel Omondi (Guest) on January 3, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Daudi (Guest) on November 25, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Agnes Lowassa (Guest) on November 20, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Issack (Guest) on October 27, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Muslima (Guest) on October 26, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Victor Kimario (Guest) on October 10, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on October 5, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on September 22, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Janet Mwikali (Guest) on July 5, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on June 4, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on May 26, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on May 21, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Grace Mushi (Guest) on May 15, 2022

😊🀣πŸ”₯

Linda Karimi (Guest) on April 2, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Yusuf (Guest) on March 11, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Related Posts

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More