Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

Mkulima: Mama yako?

Mtoto: Nae kaenda mjini na baba.

Mkulima: Kaka yako Howard yupo?

Mtoto: Nae hayupo, wote yeye, baba na mama wamekwenda mjini. Kwani una shida gani? Kama kuna kitu unahitaji niambie maana nimeachiwa funguo na najua vifaa vinapowekwa.
Mzee akawaza kidogo halafu akasema: Kwa kweli nilitaka kuongea na baba, mama au kaka yako kwa kuwa kaka yako amempa mimba binti yangu.

Mtoto akafikiria kidogo halafu akasema: Kusema ukweli itabidi umsubirie baba, ila kwa kukusaidia ni kuwa baba hulipisha shilingi laki moja kwa kupandisha dume la ng'ombe na elfu hamsini kwa beberu. Ila sijui baba hutoza shilingi ngapi kwa Howard akifanikiwa kutia mimba.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Violet Mumo (Guest) on October 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mgeni (Guest) on October 11, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Ali (Guest) on September 22, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Tambwe (Guest) on September 11, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Wilson Ombati (Guest) on August 31, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Hellen Nduta (Guest) on August 26, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on August 25, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Janet Sumari (Guest) on June 28, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Maneno (Guest) on June 22, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on June 18, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on June 16, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

John Lissu (Guest) on May 19, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

George Tenga (Guest) on May 9, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 29, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Abubakari (Guest) on April 23, 2019

Asante Ackyshine

Emily Chepngeno (Guest) on April 12, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Monica Lissu (Guest) on March 30, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Raphael Okoth (Guest) on March 10, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on February 21, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on February 20, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on December 19, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 28, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Chris Okello (Guest) on October 2, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Samuel Were (Guest) on September 11, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Rose Kiwanga (Guest) on July 29, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on July 25, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on July 22, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on July 19, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on July 8, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on June 13, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Tenga (Guest) on June 12, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Martin Otieno (Guest) on June 1, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Khadija (Guest) on May 15, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Dorothy Nkya (Guest) on April 12, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 31, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on March 27, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

David Musyoka (Guest) on March 17, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Nancy Kabura (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Hellen Nduta (Guest) on January 15, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

James Malima (Guest) on January 12, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on December 24, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on November 9, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Anthony Kariuki (Guest) on November 8, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Anna Sumari (Guest) on October 25, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on October 11, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Catherine Mkumbo (Guest) on September 28, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on September 18, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Mrope (Guest) on September 18, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on September 12, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Susan Wangari (Guest) on September 8, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on August 8, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on July 19, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on May 30, 2017

😊🀣πŸ”₯

Victor Kimario (Guest) on May 26, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on May 25, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on May 10, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Jafari (Guest) on April 30, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Margaret Mahiga (Guest) on April 14, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Margaret Mahiga (Guest) on April 14, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sarah Achieng (Guest) on March 18, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More