Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Featured Image
Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo.
Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza vocal:
Jamaa: dada mi nakupenda saana
Dem: Kaka naomba umsikilize mchungaji
Jamaa: nipe nafasi uwe msimamizi wa serikali ya moyo wangu…
Dem: niache…
Jamaa: kweli nakupenda mpnz
Dem: (kwa sauti kubwa) nmesema NIACHEEEE!!
Watu wote kanisani wakageuka… Jamaa kaona noma na ili atulize msala
Jamaa: sikuachi hadi ukiri YESU kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sarah Karani (Guest) on June 27, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

John Kamande (Guest) on June 22, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mwachumu (Guest) on June 18, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nchi (Guest) on June 15, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on April 30, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on April 22, 2024

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Majid (Guest) on April 19, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Kenneth Murithi (Guest) on March 1, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on January 28, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on January 23, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Nahida (Guest) on December 30, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Moses Mwita (Guest) on December 21, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on December 14, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on December 9, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Janet Mbithe (Guest) on November 15, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on October 1, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on September 30, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on September 26, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on September 13, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on August 23, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on August 19, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

James Kimani (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Jane Muthui (Guest) on August 5, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mary Kendi (Guest) on August 1, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on July 8, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on June 7, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Peter Mwambui (Guest) on May 29, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rose Kiwanga (Guest) on April 16, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

George Tenga (Guest) on March 11, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Furaha (Guest) on March 2, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Betty Akinyi (Guest) on February 6, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Mchome (Guest) on February 1, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on January 30, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mtei (Guest) on January 7, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on November 28, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Hashim (Guest) on November 25, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Alice Mrema (Guest) on October 26, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on October 19, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on October 14, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on October 7, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on October 3, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on September 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rahim (Guest) on September 9, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Lydia Mahiga (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Esther Cheruiyot (Guest) on August 31, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Anna Malela (Guest) on August 21, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on August 5, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Kassim (Guest) on August 4, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Linda Karimi (Guest) on July 19, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Salum (Guest) on July 9, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Janet Sumaye (Guest) on July 3, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on June 19, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Anthony Kariuki (Guest) on June 7, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Kidata (Guest) on May 25, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Bakari (Guest) on May 17, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Peter Mbise (Guest) on May 16, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on May 14, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Husna (Guest) on April 29, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Related Posts

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More