Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy,
MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa
MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye
kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;

MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili?
MFAMASIA: Kama chumvichumvi
MZEE: Hakuna sukari
MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa
MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jafari (Guest) on July 11, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Peter Otieno (Guest) on July 7, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Jamila (Guest) on July 6, 2024

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Stephen Malecela (Guest) on July 6, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Lucy Kimotho (Guest) on June 22, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mary Njeri (Guest) on June 12, 2024

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Guest (Guest) on December 5, 2025

Danlwoad

Christopher Oloo (Guest) on May 10, 2024

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on May 3, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on April 24, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on March 8, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on February 29, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on December 23, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Agnes Sumaye (Guest) on December 18, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kahina (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Sumaya (Guest) on December 10, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Mary Mrope (Guest) on October 30, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Irene Makena (Guest) on October 25, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on October 16, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on October 12, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on October 11, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rose Amukowa (Guest) on August 14, 2023

🀣πŸ”₯😊

Moses Kipkemboi (Guest) on July 4, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Nancy Komba (Guest) on July 1, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on June 24, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on June 18, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Rose Lowassa (Guest) on May 31, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Amani (Guest) on May 15, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on May 13, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Baraka (Guest) on April 14, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rose Mwinuka (Guest) on April 10, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

David Musyoka (Guest) on April 2, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on February 20, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on February 9, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Patrick Akech (Guest) on February 2, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Monica Adhiambo (Guest) on February 1, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Lucy Kimotho (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Mushi (Guest) on November 27, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Daudi (Guest) on November 8, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Edward Chepkoech (Guest) on November 2, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Kijakazi (Guest) on September 27, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Hassan (Guest) on September 23, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Robert Ndunguru (Guest) on September 7, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on September 4, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Ruth Kibona (Guest) on August 20, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on August 3, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Alex Nyamweya (Guest) on July 20, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

David Ochieng (Guest) on May 22, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on May 3, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on April 14, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on April 1, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Rahma (Guest) on March 22, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Asha (Guest) on March 4, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Benjamin Kibicho (Guest) on March 2, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Lissu (Guest) on February 10, 2022

Asante Ackyshine

Stephen Kikwete (Guest) on January 14, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Khatib (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mwalimu (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Diana Mumbua (Guest) on December 23, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Related Posts

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More