Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Featured Image

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza kwa Kimombo:-
"… Lord I pray for Grace, I pray for Mercy, I pray 4 Joy, I pray 4 Love, I pray 4 Hope, I pray 4 GLORY, I pray 4 Faith, I pray 4…."





Mke akadakia, "Unadhani mimi sina ee" akaanza:-
I pray 4 Felix, I pray 4 Temu, I pray 4 Rweyemamu, I pray 4 Masawe, I pray 4 Benson, I pray 4 Onyango, I pray 4 Swai, I pray kwa wote niliowasahau!!
Chezea mchepuko…!!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Tibaijuka (Guest) on November 6, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mwajabu (Guest) on November 4, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Sharon Kibiru (Guest) on November 2, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Chiku (Guest) on October 30, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Baridi (Guest) on October 11, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Sharon Kibiru (Guest) on September 11, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on August 30, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Kassim (Guest) on July 17, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Grace Minja (Guest) on July 6, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on May 19, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on April 26, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Kijakazi (Guest) on April 24, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Linda Karimi (Guest) on March 26, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Stephen Mushi (Guest) on March 7, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Josephine (Guest) on March 6, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Andrew Mahiga (Guest) on February 27, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mwakisu (Guest) on December 28, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nancy Kawawa (Guest) on December 22, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Grace Majaliwa (Guest) on December 17, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanaidha (Guest) on December 14, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

David Chacha (Guest) on December 6, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on December 3, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on November 1, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on October 24, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Alice Mwikali (Guest) on September 3, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Yusra (Guest) on August 28, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Agnes Sumaye (Guest) on August 3, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on July 25, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on July 22, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Ochieng (Guest) on June 26, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on June 17, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Victor Kamau (Guest) on May 26, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Monica Nyalandu (Guest) on April 19, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Rose Amukowa (Guest) on April 14, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Warda (Guest) on March 23, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Nahida (Guest) on March 12, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Nancy Komba (Guest) on February 23, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on February 22, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Agnes Lowassa (Guest) on February 20, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Njoroge (Guest) on February 13, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Benjamin Masanja (Guest) on February 10, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on February 7, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 1, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on December 22, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Jane Muthoni (Guest) on December 21, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on December 17, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on December 4, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on December 2, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Fadhila (Guest) on November 21, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Paul Ndomba (Guest) on November 12, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Victor Kamau (Guest) on October 31, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Susan Wangari (Guest) on October 28, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on October 20, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on October 19, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Peter Mwambui (Guest) on August 23, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on August 16, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Stephen Malecela (Guest) on August 8, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on July 11, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on June 20, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Binti (Guest) on April 23, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Related Posts

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More