Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Featured Image

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Smart phone), kukawa na jamaa kasimama pembeni yangu, ye hakupata seat. Sasa akawa anasoma message zangu bila aibu yani anafutilia ninavyochati…

Basi nikasema ngoja nimtie Adabu mshenzi huyu…. Nikacheck saa yangu yamkononi kisha nikatext:Β "Oya Ben Kwaheri bwana, zimebaki sekunde 30 tu hili bomuπŸ’£ lilipuke… najua hatutaonana tena, nitunzie Familia yangu, wambie nawapenda sana…"Β Yule jamaa akajirusha dirishaniβ€¦β€¦πŸ˜‚πŸ˜…

​kwani mi napenda ujinga xx πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Mwinuka (Guest) on July 14, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on July 11, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Stephen Kangethe (Guest) on May 13, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Rose Lowassa (Guest) on May 8, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on May 5, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on April 30, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on March 15, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on March 5, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on February 25, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Andrew Mahiga (Guest) on February 24, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on February 18, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜† Kali sana!

Irene Akoth (Guest) on February 9, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on January 9, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mgeni (Guest) on December 16, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joseph Kitine (Guest) on December 7, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Jacob Kiplangat (Guest) on November 15, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Umi (Guest) on November 8, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Frank Sokoine (Guest) on November 4, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Fadhila (Guest) on November 1, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Anna Malela (Guest) on October 30, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Muslima (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Saidi (Guest) on September 24, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

John Mushi (Guest) on September 6, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Kahina (Guest) on September 6, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Wande (Guest) on August 31, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Alice Jebet (Guest) on August 1, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 28, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Khalifa (Guest) on July 25, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Peter Tibaijuka (Guest) on July 10, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Francis Njeru (Guest) on July 3, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mercy Atieno (Guest) on July 1, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on June 15, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Ndoto (Guest) on June 5, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Anna Kibwana (Guest) on May 11, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Rose Kiwanga (Guest) on April 23, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Latifa (Guest) on April 22, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Andrew Odhiambo (Guest) on April 21, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Issa (Guest) on February 3, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Jane Malecela (Guest) on February 1, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Joyce Aoko (Guest) on December 29, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Kijakazi (Guest) on December 1, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Michael Onyango (Guest) on November 7, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Baridi (Guest) on November 4, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Peter Mwambui (Guest) on October 28, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Issack (Guest) on October 23, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Monica Nyalandu (Guest) on October 15, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on October 8, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Anna Malela (Guest) on October 5, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Amir (Guest) on October 3, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joyce Mussa (Guest) on September 17, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Khatib (Guest) on September 8, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Umi (Guest) on August 23, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Anna Malela (Guest) on August 6, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on July 16, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on June 28, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on June 16, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Grace Njuguna (Guest) on June 10, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on April 28, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 27, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Related Posts

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More