Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mkeΒ­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

Siku ya pili
MUME: Vipi mko salama huko?
MKE: Tupo kama ulivyotuacha
MUME: kwani uko wapi?
MKE: Niko nyumbani napika
MUME: Washa brender kama kweli uko nyumbani
Mke akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Poa ntarudi baada ya masaa mawili

Siku sita baadaeΒ mume akaamua kurudi bila kumtaarifu mkewe alipofika home kamkuta mdada wa kazi yuko peke yake.
MUME: We mama yako yuko wapi?
MDADA: Sijui ameondoka na blender toka asubuhi

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Betty Cheruiyot (Guest) on November 9, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on October 28, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Rahim (Guest) on October 7, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Issack (Guest) on October 3, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Mushi (Guest) on September 24, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwinyi (Guest) on September 16, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Ramadhan (Guest) on September 1, 2021

Asante Ackyshine

Monica Adhiambo (Guest) on July 5, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Nahida (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Anna Malela (Guest) on June 24, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on June 5, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on June 2, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on May 28, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nancy Komba (Guest) on May 19, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Mwikali (Guest) on May 14, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Ibrahim (Guest) on May 12, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Abdillah (Guest) on April 17, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Betty Kimaro (Guest) on April 14, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Paul Ndomba (Guest) on April 9, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on April 2, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Lucy Wangui (Guest) on March 12, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Thomas Mtaki (Guest) on March 9, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on March 7, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on January 24, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Janet Wambura (Guest) on January 22, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Betty Cheruiyot (Guest) on December 17, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on December 13, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Nora Kidata (Guest) on December 10, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Charles Wafula (Guest) on December 4, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rukia (Guest) on December 3, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lucy Wangui (Guest) on November 10, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Rose Amukowa (Guest) on November 1, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Brian Karanja (Guest) on October 15, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nancy Kawawa (Guest) on October 14, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on September 22, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on September 13, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on August 19, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Thomas Mtaki (Guest) on August 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Jackson Makori (Guest) on August 12, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on August 5, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on July 19, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 17, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Makame (Guest) on July 8, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Faith Kariuki (Guest) on July 6, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Binti (Guest) on July 3, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Aziza (Guest) on June 30, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Michael Onyango (Guest) on June 25, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Charles Mchome (Guest) on May 23, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mariam Kawawa (Guest) on April 22, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mary Kidata (Guest) on April 19, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on April 4, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Khatib (Guest) on March 28, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mohamed (Guest) on February 6, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nancy Akumu (Guest) on January 24, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on December 29, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Salma (Guest) on December 10, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on November 21, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Grace Mushi (Guest) on November 12, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 12, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Mbise (Guest) on November 11, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More