Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tabia za wachepukaji

Featured Image

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na sending items hufutwa kila
wakati.
3.Ukimuomba simu yake ghafla lazima
akwambie hebu
kwanza…….
4. Kamwe haiiti always vaibration.
5. Namba nyingi ha save.
6. Kuna simu hapokei hata
iweje….anapenda sms zaidi
7.Majina mengi kwenye simu yameseviwa
kwa majina ya
kufikirika.
8.Muda mwingi ni mtu wakujihami.
9.Anapenda password na anabadili mara
kwa mara.
10.Akiazima simu yako, akitumia tu
anafuta dial no
haraka.
11.Always yuko na simu…..hadi bafuni
ikibidi.
12. Anajazba ukimuuliza chochote kuhusu
simu….anajishtukia.
13. Akiwa anachati anakuangalia mara kwa
mara
kiwiziwizi
14. Hana jeuri ya kukuweka profile picture
na akikuweka
humalizi masaa anakudampu huko
Hapa kuna ukweli asilimia millioni moja
kabisa
Share na washikaji zako😜😜😜😜😜

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ann Awino (Guest) on June 30, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on June 27, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Betty Kimaro (Guest) on June 18, 2024

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on May 25, 2024

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Violet Mumo (Guest) on May 25, 2024

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on May 15, 2024

πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on April 12, 2024

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Azima (Guest) on April 6, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on March 21, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Janet Sumari (Guest) on February 28, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on February 12, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on February 8, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on January 16, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

James Kimani (Guest) on December 27, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

James Kawawa (Guest) on December 25, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Emily Chepngeno (Guest) on December 2, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Alice Jebet (Guest) on November 25, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Mushi (Guest) on November 19, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Joseph Kawawa (Guest) on October 31, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on September 4, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on August 29, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on August 18, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Ann Awino (Guest) on August 5, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

James Malima (Guest) on August 5, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Maneno (Guest) on July 21, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Kenneth Murithi (Guest) on July 9, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on July 6, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Martin Otieno (Guest) on July 5, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on June 21, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanaidha (Guest) on June 15, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Amollo (Guest) on May 29, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Fadhili (Guest) on May 19, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Patrick Mutua (Guest) on May 12, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwanais (Guest) on May 7, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Lucy Mushi (Guest) on May 4, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Janet Sumaye (Guest) on April 12, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on April 8, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Maida (Guest) on March 14, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Mariam Kawawa (Guest) on March 6, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 20, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on February 11, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Esther Nyambura (Guest) on January 29, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on January 28, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on January 2, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Kijakazi (Guest) on December 26, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rahma (Guest) on November 6, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on September 22, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Maida (Guest) on September 19, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

John Mwangi (Guest) on August 25, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Charles Mrope (Guest) on August 12, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Lydia Mahiga (Guest) on July 31, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Violet Mumo (Guest) on July 17, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

John Lissu (Guest) on June 23, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine (Guest) on June 21, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

John Mushi (Guest) on June 21, 2022

🀣πŸ”₯😊

George Wanjala (Guest) on May 27, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Samson Mahiga (Guest) on May 13, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Benjamin Kibicho (Guest) on March 15, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Related Posts

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.