Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Featured Image

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.





Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale.





Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/=





Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kisasa lakini sio laki tano kwa masaa 4.





Babu akagoma kulipa akasema aitiwe meneja.





Meneja akaja kuwasikiliza





Babu: " Kwanini bili ni kubwa hata kama ni hotel ya kisasa?"





Manager;"kuna maswiming puli, ya kisasa "





Babu; "Lakini hatukuyatumia"





Manager; "Ah ah ah. Lakini mungeweza kama mngetaka"





Babu: "Hata hivo bado haithamini kuwa laki 5"





meneja: "Pia Kuna waimbaji kutoka sauzi, Uganda , Congo"





Babu: "Lakini sisi hatukuwasikiliza"





Meneja: "Ndiooo. Lakini mngeweza kama mngetaka"





Babu; aka give up na kumwambia mkewe andika cheki uwape,,





Bibi akaandika akampa meneja.





Meneja anaangalia anaona sh. 50,000





Akashangaa na kusema. "VP mbona hamsini'"





Bibi akajibu "450,000 ya kulala na mimi"





Meneja akajibu; "Lakini sijalala"





Bibi :"ungeweza kama ungetaka"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Stephen Mushi (Guest) on February 22, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on February 15, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Charles Mchome (Guest) on February 11, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Moses Mwita (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Mligo (Guest) on December 29, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on November 29, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on November 8, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on September 22, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on September 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

George Tenga (Guest) on September 10, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

James Kimani (Guest) on August 30, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on August 23, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Anthony Kariuki (Guest) on August 12, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Edward Chepkoech (Guest) on July 27, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Issack (Guest) on July 25, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Agnes Sumaye (Guest) on June 24, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Tabu (Guest) on June 17, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Samuel Were (Guest) on June 12, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on June 11, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Salma (Guest) on May 18, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Francis Mtangi (Guest) on April 24, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on April 3, 2021

Asante Ackyshine

Bernard Oduor (Guest) on March 29, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 17, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on March 3, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Nahida (Guest) on February 24, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Grace Wairimu (Guest) on February 5, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Komba (Guest) on January 30, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nora Kidata (Guest) on January 1, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Tabu (Guest) on December 19, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on December 9, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on November 25, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 7, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Tabu (Guest) on October 24, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Salum (Guest) on September 24, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 4, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Monica Adhiambo (Guest) on August 30, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on August 26, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on August 17, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on July 20, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Jacob Kiplangat (Guest) on July 8, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on July 4, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lucy Mahiga (Guest) on July 4, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

James Kimani (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Agnes Sumaye (Guest) on May 25, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Michael Mboya (Guest) on May 12, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Sumaye (Guest) on May 10, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 17, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Janet Mwikali (Guest) on April 11, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on March 25, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on March 19, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Farida (Guest) on March 3, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Fadhila (Guest) on February 28, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Mugendi (Guest) on January 30, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on January 15, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on January 6, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on December 24, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Elizabeth Mrema (Guest) on December 3, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Related Posts

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More