Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. Chezeya mchaga!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Shamsa (Guest) on July 1, 2024

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Margaret Mahiga (Guest) on June 28, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Faiza (Guest) on June 24, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

John Mwangi (Guest) on June 21, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Simon Kiprono (Guest) on June 16, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Mbithe (Guest) on May 30, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Rose Mwinuka (Guest) on May 16, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

John Mushi (Guest) on May 16, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on April 27, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Grace Mushi (Guest) on April 22, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mtumwa (Guest) on April 11, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Edith Cherotich (Guest) on March 28, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Zainab (Guest) on February 28, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Faith Kariuki (Guest) on February 4, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on January 29, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Kazija (Guest) on January 18, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Abubakari (Guest) on January 14, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Patrick Kidata (Guest) on January 11, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on December 21, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on December 12, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Henry Sokoine (Guest) on November 25, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on November 15, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on November 7, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on November 6, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mchawi (Guest) on November 2, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on October 16, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on October 11, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Emily Chepngeno (Guest) on October 7, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

David Sokoine (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mariam (Guest) on July 24, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Farida (Guest) on July 20, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

John Mwangi (Guest) on July 17, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zawadi (Guest) on July 5, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Hawa (Guest) on June 22, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Mchome (Guest) on May 29, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on May 25, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

David Chacha (Guest) on April 18, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on April 15, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on January 18, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Leila (Guest) on December 20, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Victor Sokoine (Guest) on November 18, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on November 7, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on October 5, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Paul Ndomba (Guest) on September 9, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on September 5, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Ali (Guest) on September 3, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Brian Karanja (Guest) on August 29, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Fredrick Mutiso (Guest) on July 31, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Rahma (Guest) on July 15, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Mwafirika (Guest) on July 8, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Grace Njuguna (Guest) on July 7, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on July 4, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Hawa (Guest) on July 1, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Benjamin Masanja (Guest) on June 26, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Emily Chepngeno (Guest) on May 29, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mwanahawa (Guest) on May 16, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 19, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Shamsa (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Related Posts

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More