Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Featured Image

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki7, ATM card na karatasi yenye PIN ya ATM card na kijimfuko cha dhahabu" Mtangazaji akasema, kwa hiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama anakusikiliza? Jamaa akajibu; hapana, ninaomba kumuombea dedication wimbo wa R.Kelly usemao "U SAVED ME" umfikie popote alipo!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Kawawa (Guest) on December 8, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on December 6, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on November 29, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Kevin Maina (Guest) on November 27, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on November 18, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Linda Karimi (Guest) on November 17, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Simon Kiprono (Guest) on November 6, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on November 4, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on October 8, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Zubeida (Guest) on October 2, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Anna Kibwana (Guest) on September 29, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

David Nyerere (Guest) on September 9, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on August 14, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

James Mduma (Guest) on July 31, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Jamal (Guest) on July 24, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nora Lowassa (Guest) on July 21, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Patrick Mutua (Guest) on July 3, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Elizabeth Mtei (Guest) on June 21, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on June 7, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Rose Lowassa (Guest) on June 1, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on May 12, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Amina (Guest) on April 17, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mashaka (Guest) on April 17, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Rose Kiwanga (Guest) on April 13, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rehema (Guest) on February 12, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Francis Mrope (Guest) on February 4, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Richard Mulwa (Guest) on January 29, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Ruth Mtangi (Guest) on January 12, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mary Kendi (Guest) on December 15, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Ruth Mtangi (Guest) on November 17, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Frank Sokoine (Guest) on November 16, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on November 15, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Agnes Sumaye (Guest) on October 28, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Linda Karimi (Guest) on October 12, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Grace Wairimu (Guest) on October 9, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Agnes Sumaye (Guest) on October 3, 2020

🀣πŸ”₯😊

David Nyerere (Guest) on September 12, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on September 1, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on August 26, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on August 1, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on August 1, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mchawi (Guest) on July 31, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Edith Cherotich (Guest) on July 25, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on June 21, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Maimuna (Guest) on May 19, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Esther Nyambura (Guest) on May 11, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on April 25, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Frank Macha (Guest) on April 25, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Mrema (Guest) on April 6, 2020

Asante Ackyshine

Alice Jebet (Guest) on March 26, 2020

😊🀣πŸ”₯

Fadhila (Guest) on March 19, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Fredrick Mutiso (Guest) on March 17, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Richard Mulwa (Guest) on March 7, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Alex Nakitare (Guest) on February 28, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on February 26, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on February 11, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Frank Macha (Guest) on January 29, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Kiza (Guest) on January 7, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 30, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Halimah (Guest) on December 6, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Related Posts

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More