Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Featured Image

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza vidogo hatuna.
Mtafsiri: No sir, they don't have.
Mtalii: OK, fine, do you have hot dogs.
Mtafsiri: Sawa, je mnao mbwa wa moto.
Waiter: Loh! Bwana we, hatupiki mbwa hapa.
Mtafsiri: They don't cook here
Mtalii: What type of snacks do you have here.
Mtafsiri: Aina ngapi ya nyoka mnao hapa,
Waiter: We bwana we hapa hatupiki aina yeyote
ya nyoka, mwache akale nyumbani kwao.
Mtafsiri: They don't cook any type of snacks
here,
maybe you can go back and eat at home.
Mtalii: OK, at least give us a cocktail juice.
Mtafsiri: OK, tupatie hata juisi ya mkia wa jogoo.
Waiter: Hebu tokeni na bangi zenu hapa, tena
sasa hivi kabla sijakasirika.
Mtafsiri: Lets get out of here
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Usicheke pekeyako

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zawadi (Guest) on August 22, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

David Kawawa (Guest) on August 18, 2022

😊🀣πŸ”₯

Anna Kibwana (Guest) on August 14, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Shani (Guest) on August 8, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Anthony Kariuki (Guest) on July 23, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Violet Mumo (Guest) on July 22, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 20, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on July 20, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on June 8, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on May 27, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on April 26, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Monica Nyalandu (Guest) on February 21, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on February 19, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on February 11, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Fadhila (Guest) on January 27, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on December 29, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Victor Kimario (Guest) on November 27, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on November 24, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on November 23, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Nancy Kawawa (Guest) on November 9, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Margaret Mahiga (Guest) on November 5, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on November 4, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on November 1, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on October 14, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Raphael Okoth (Guest) on October 6, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Violet Mumo (Guest) on September 25, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Ruth Wanjiku (Guest) on September 12, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on September 6, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on August 30, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Susan Wangari (Guest) on August 21, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mhina (Guest) on August 18, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nora Kidata (Guest) on August 3, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Josephine Nduta (Guest) on August 3, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Rabia (Guest) on July 28, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Robert Okello (Guest) on July 19, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Moses Kipkemboi (Guest) on July 12, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Miriam Mchome (Guest) on July 6, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on June 12, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on June 6, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Joseph Mallya (Guest) on June 2, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on June 1, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Abdillah (Guest) on March 23, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on March 13, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on March 11, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on February 23, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alice Jebet (Guest) on January 16, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on January 5, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Faith Kariuki (Guest) on December 28, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 22, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on December 15, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on December 10, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on October 23, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on September 30, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on September 27, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Frank Sokoine (Guest) on September 12, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 1, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Shamim (Guest) on July 22, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Miriam Mchome (Guest) on July 14, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Athumani (Guest) on June 14, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on June 13, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Related Posts

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More