Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Featured Image

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical school.

02.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa
wanafunzi walioshika nafasi ya kwanza.

03.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa tatu, wanageukia
Siasa na kuwaongoza wote hapo juu.
Yaani wa kwanza na wa pili.

04.πŸ‘‰ Wale waliofeli, wanaenda Jeshi, hawa wakigoma, basi hao wa juu
wote hawana raha.

05.πŸ‘‰ Wale waliopata Zero na waliokataa
shule wanakuwa waganga wa kienyeji,
wote hapo juu watamtafuta huyu, pale
mambo yao yanapokwenda kombo. Tuache kudharauliana, kila mtu ni boss akiwa kwenye nafasi yake.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‰πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jamal (Guest) on July 4, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Sharon Kibiru (Guest) on June 26, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on June 13, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 10, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

George Wanjala (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Guest (Guest) on August 24, 2025

malizia maneno

Lydia Wanyama (Guest) on May 3, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Maneno (Guest) on April 16, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Mashaka (Guest) on April 7, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Richard Mulwa (Guest) on March 10, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on February 9, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Kiza (Guest) on February 4, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwagonda (Guest) on January 16, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 18, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joseph Njoroge (Guest) on November 5, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on November 2, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Anna Mchome (Guest) on October 28, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Peter Mwambui (Guest) on October 15, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Joseph Kawawa (Guest) on September 26, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on September 23, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Jackson Makori (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Joseph Mallya (Guest) on September 2, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Andrew Mchome (Guest) on August 29, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joseph Kawawa (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on July 24, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Kiwanga (Guest) on July 9, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on July 8, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Selemani (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Agnes Sumaye (Guest) on June 22, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on May 9, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Kipkemboi (Guest) on April 16, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 19, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Kidata (Guest) on March 7, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on February 28, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mustafa (Guest) on February 27, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on February 13, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Lucy Mushi (Guest) on February 5, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

James Malima (Guest) on January 31, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mary Njeri (Guest) on January 18, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Robert Ndunguru (Guest) on January 14, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on December 21, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

George Tenga (Guest) on December 9, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Victor Malima (Guest) on December 5, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Dorothy Nkya (Guest) on November 18, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Betty Cheruiyot (Guest) on November 17, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Fikiri (Guest) on November 9, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Bakari (Guest) on October 23, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Amukowa (Guest) on October 9, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on September 17, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

George Tenga (Guest) on August 13, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Sarah Karani (Guest) on July 11, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on June 26, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mwafirika (Guest) on June 24, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Victor Sokoine (Guest) on June 11, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on May 30, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on April 18, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on April 1, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on March 6, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Nancy Kawawa (Guest) on February 19, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Rose Mwinuka (Guest) on February 10, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Related Posts

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More