Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Featured Image

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia Mlangoni kwangu ndio wanacheza hapo. Kila nikitoka wananisalimia. Mama yao ndio kanimaliza kabisa nimetoka akaniambia

"Kumbe wewe ni Mpishi mzuri, Hongera"

Imebidi nisirudi nyumbani maana wale watoto wanaweza kuingia ndani kabisa na pilau hakuna.

#UTOTO RAHA πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

James Malima (Guest) on July 17, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on June 30, 2024

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on June 9, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwakisu (Guest) on May 22, 2024

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Rose Kiwanga (Guest) on May 6, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Wande (Guest) on April 18, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Mwanaidha (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

James Kawawa (Guest) on March 7, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Philip Nyaga (Guest) on January 27, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Shamim (Guest) on January 25, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Stephen Kikwete (Guest) on January 18, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on January 10, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Elizabeth Mtei (Guest) on December 16, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on December 8, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on November 20, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on November 6, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on November 2, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on September 23, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mariam Hassan (Guest) on September 19, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sarah Achieng (Guest) on August 26, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on August 24, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Fatuma (Guest) on August 15, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Guest (Guest) on September 21, 2025

Duuuuh

Victor Sokoine (Guest) on August 14, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

John Malisa (Guest) on August 14, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Omar (Guest) on August 8, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Samson Tibaijuka (Guest) on July 29, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on July 26, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on July 3, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Charles Mboje (Guest) on June 3, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on May 27, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Raphael Okoth (Guest) on May 24, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Brian Karanja (Guest) on May 24, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Asha (Guest) on May 18, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Grace Njuguna (Guest) on May 9, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on April 25, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on April 18, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Husna (Guest) on March 7, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Malisa (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Frank Sokoine (Guest) on February 6, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on January 8, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on December 12, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Monica Lissu (Guest) on November 28, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Yusuf (Guest) on November 24, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ndoto (Guest) on November 13, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Monica Lissu (Guest) on October 13, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on September 24, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on September 8, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on September 5, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on August 24, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Sharon Kibiru (Guest) on August 23, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on August 4, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on July 27, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

David Sokoine (Guest) on July 14, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on June 19, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on May 10, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwanajuma (Guest) on March 18, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Brian Karanja (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Richard Mulwa (Guest) on January 11, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on January 8, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Related Posts

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More