Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Featured Image

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lolote kwa usahìhi ataondoka asiye jibu atabaki.

Dogo mmoja akatupa begi nje ya dirisha.
Mwalimu akauliza nani katupa ilo begi nje?
Dogo akajibu fasta mimi. Akafungua mlango akaenda kwao.

neno moja kwa dogo

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alice Mrema (Guest) on June 25, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Edward Lowassa (Guest) on June 14, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

James Kawawa (Guest) on June 11, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Mduma (Guest) on June 6, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on June 2, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on May 25, 2024

πŸ˜† Kali sana!

Grace Minja (Guest) on May 24, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Fredrick Mutiso (Guest) on May 20, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nyamweya (Guest) on April 28, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Catherine Mkumbo (Guest) on April 13, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Stephen Kikwete (Guest) on March 29, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mary Sokoine (Guest) on March 27, 2024

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Jaffar (Guest) on March 22, 2024

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Ruth Wanjiku (Guest) on March 10, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Andrew Mchome (Guest) on March 10, 2024

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwakisu (Guest) on February 27, 2024

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Chris Okello (Guest) on February 22, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on February 18, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on February 15, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Biashara (Guest) on December 29, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Chris Okello (Guest) on October 31, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on October 3, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Rabia (Guest) on September 15, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Patrick Akech (Guest) on August 16, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Jabir (Guest) on August 4, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Robert Okello (Guest) on August 2, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Charles Mchome (Guest) on June 24, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Raphael Okoth (Guest) on June 16, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Ndoto (Guest) on June 14, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Nancy Kabura (Guest) on June 9, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Shani (Guest) on June 4, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Henry Mollel (Guest) on May 25, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on May 10, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on March 31, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Athumani (Guest) on March 22, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Hellen Nduta (Guest) on February 10, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Mhina (Guest) on January 20, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sharon Kibiru (Guest) on December 29, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on December 25, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on December 17, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Kibwana (Guest) on December 5, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Andrew Odhiambo (Guest) on November 27, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on November 18, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Victor Mwalimu (Guest) on November 4, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on October 27, 2022

🀣πŸ”₯😊

Emily Chepngeno (Guest) on October 19, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Irene Akoth (Guest) on October 16, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on September 2, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Shamsa (Guest) on August 29, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on August 18, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ali (Guest) on July 29, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Grace Njuguna (Guest) on July 11, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on July 10, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on June 30, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on June 23, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Lucy Mahiga (Guest) on June 8, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Henry Mollel (Guest) on May 22, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on May 9, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Violet Mumo (Guest) on May 5, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on April 26, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Related Posts

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More