Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Featured Image
Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo.
Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza vocal:
Jamaa: dada mi nakupenda saana
Dem: Kaka naomba umsikilize mchungaji
Jamaa: nipe nafasi uwe msimamizi wa serikali ya moyo wangu…
Dem: niache…
Jamaa: kweli nakupenda mpnz
Dem: (kwa sauti kubwa) nmesema NIACHEEEE!!
Watu wote kanisani wakageuka… Jamaa kaona noma na ili atulize msala
Jamaa: sikuachi hadi ukiri YESU kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine Nduta (Guest) on April 14, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Fikiri (Guest) on April 9, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Patrick Akech (Guest) on April 4, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on March 17, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on March 5, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mwafirika (Guest) on February 26, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Janet Sumari (Guest) on January 31, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 17, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Isaac Kiptoo (Guest) on January 10, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rehema (Guest) on January 4, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Alice Mrema (Guest) on December 26, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on December 22, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Binti (Guest) on December 13, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Ann Wambui (Guest) on November 20, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Philip Nyaga (Guest) on October 28, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on October 12, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on October 7, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Elijah Mutua (Guest) on September 28, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Alice Wanjiru (Guest) on September 10, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Raphael Okoth (Guest) on August 21, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

David Sokoine (Guest) on August 15, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Paul Kamau (Guest) on June 25, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mtumwa (Guest) on June 21, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

John Mwangi (Guest) on June 11, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Selemani (Guest) on May 6, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Jane Malecela (Guest) on May 6, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

John Lissu (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Patrick Kidata (Guest) on April 27, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Fredrick Mutiso (Guest) on April 10, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nahida (Guest) on March 8, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Agnes Njeri (Guest) on February 17, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 3, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Rahma (Guest) on January 11, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Samuel Omondi (Guest) on December 26, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Betty Cheruiyot (Guest) on December 21, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

John Lissu (Guest) on December 9, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 7, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

John Mushi (Guest) on December 2, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on November 21, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on November 12, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Janet Mbithe (Guest) on November 11, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Grace Minja (Guest) on October 25, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on October 12, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Kawawa (Guest) on September 25, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on September 23, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Martin Otieno (Guest) on September 11, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mwanajuma (Guest) on July 15, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Baraka (Guest) on June 24, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Sarah Karani (Guest) on June 12, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Yahya (Guest) on May 24, 2015

Asante Ackyshine

Miriam Mchome (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on May 11, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lucy Mushi (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on April 27, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 14, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

John Lissu (Guest) on April 9, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More