Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Featured Image
Hata kama ni Mgeni this is too much.
Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda?
Mgeni: Nipe nianze na soda wakati chai inachemka.
Mwenyeji: Utakunywa fanta au sprite?
Mgeni: Nipe fanta wakati sprite inapoa.
Mwenyeji: Utakunywa na keki au mkate?
Mgeni: Nipe keki mkate nitanywea chai ikishachemka.
Mwenyeji: Utapendelea ndiz au machungwa,
Mgeni: Nipe machungwa ndizi ntakula na wali
mchana.
Chezea mgeni ww.!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Monica Lissu (Guest) on July 7, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on July 5, 2024

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Binti (Guest) on June 14, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

James Kimani (Guest) on May 22, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nassar (Guest) on May 10, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Janet Mwikali (Guest) on April 25, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Samson Mahiga (Guest) on April 22, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Halima (Guest) on April 12, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lydia Wanyama (Guest) on April 11, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Francis Mtangi (Guest) on April 11, 2024

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwanajuma (Guest) on March 31, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mariam Hassan (Guest) on March 23, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on March 19, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Omari (Guest) on March 2, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Rose Waithera (Guest) on February 7, 2024

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mercy Atieno (Guest) on January 25, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Agnes Sumaye (Guest) on January 14, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on January 10, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 11, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on November 16, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Elizabeth Malima (Guest) on November 10, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Christopher Oloo (Guest) on November 4, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on October 26, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on October 24, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on October 18, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 11, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on October 10, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nashon (Guest) on October 5, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Samson Mahiga (Guest) on August 21, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Edward Chepkoech (Guest) on August 12, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on June 30, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on June 27, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Mwambui (Guest) on June 25, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 19, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Monica Lissu (Guest) on June 18, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Shamim (Guest) on June 4, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Yahya (Guest) on May 24, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on May 20, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on May 15, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on May 9, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Agnes Njeri (Guest) on May 5, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Stephen Kikwete (Guest) on April 30, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Margaret Mahiga (Guest) on April 24, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Brian Karanja (Guest) on April 15, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on March 30, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 20, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Fadhila (Guest) on March 12, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Faith Kariuki (Guest) on February 22, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Raphael Okoth (Guest) on February 20, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Joyce Mussa (Guest) on January 16, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hawa (Guest) on January 8, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Victor Malima (Guest) on November 24, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Ruth Wanjiku (Guest) on October 15, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on October 14, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Chris Okello (Guest) on September 17, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Tambwe (Guest) on September 11, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Faiza (Guest) on August 29, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Kijakazi (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Kheri (Guest) on August 10, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Rose Mwinuka (Guest) on July 1, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More