Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza kipindi cha
dini " wanafunzi wakiwa wanajiandaa ili kuendelea
na kipindi mwalimu akajiegesha kwenye kiti klichokua
karibuu yake baada ya dakika kadhaa mwalimu alipitiwa
na usingizi, ghafla alingia mkurugenzi na
kusimama pembeni mwa kile kiti alichokalia mwalimu
ghafla kmya kikatawala darasani kiasi cha kunfanya
mwalimu ashtuke usingizini aliamka huku akipiga
miayo alpotupa jicho pembeni alimuona mkurugenzi
kasimama pemben! akiwa anababaika alifungua
kinywa na kusema ' Hivi ndivyo walivyolala wanafunzi
wa YESU walipokua wakimsubli kule mlimani, je
kuna mwenye swal? mkurugeni pale alipokua
akapiga makofi na kumsifia mwalimu kwa kufundisha
kwa vitendo.

Je % Ngapi unampa mwalimu kwa
kusolve kibarua chake.????

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Moses Kipkemboi (Guest) on July 3, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on June 27, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

David Sokoine (Guest) on June 20, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on June 19, 2024

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Wande (Guest) on June 17, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Andrew Odhiambo (Guest) on June 4, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on May 26, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on May 26, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Betty Kimaro (Guest) on May 23, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on May 21, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on April 28, 2024

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on April 14, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mohamed (Guest) on March 29, 2024

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mariam Hassan (Guest) on March 23, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Sharon Kibiru (Guest) on March 15, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Paul Kamau (Guest) on March 4, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on February 22, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on February 7, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on January 24, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on January 19, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Wambura (Guest) on January 11, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on December 25, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

John Kamande (Guest) on September 1, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on August 26, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Janet Sumari (Guest) on August 24, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nancy Kabura (Guest) on August 15, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on August 11, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Isaac Kiptoo (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on July 31, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on July 17, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwachumu (Guest) on July 14, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Christopher Oloo (Guest) on June 26, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on June 25, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on June 13, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Ndungu (Guest) on May 31, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on May 13, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on May 12, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on April 6, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lydia Mahiga (Guest) on March 24, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Salima (Guest) on March 18, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Raphael Okoth (Guest) on March 3, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Daudi (Guest) on February 24, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Susan Wangari (Guest) on February 18, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on February 18, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Abdillah (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Frank Sokoine (Guest) on January 17, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Mohamed (Guest) on January 11, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Joseph Njoroge (Guest) on January 3, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Josephine (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Bahati (Guest) on December 3, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Monica Lissu (Guest) on November 15, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Grace Wairimu (Guest) on October 31, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Paul Kamau (Guest) on October 25, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on August 9, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on August 5, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Sarah Achieng (Guest) on July 14, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Victor Kimario (Guest) on July 4, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Wilson Ombati (Guest) on June 28, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Grace Mligo (Guest) on June 27, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Related Posts

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More