Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Mwanaume mmoja alienda kukata miti kwa ajili ya mkaa, bahati mbaya panga likadondokea mtoni, akaanza kulia sana. Malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia. Jamaa akajibu; "Panga langu limedondokea mtoni na ndilo ninalotegemea kuendeshea maisha yangu".

Malaika akazama mtoni na kuibika na panga la DHAHABU na kumuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena na kuibuka na panga la SHABA na kuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena mara hii akaibuka na panga la CHUMA na kuuliza ndio hili?

Jamaa: NDIYO.

Malaika akafurahishwa sana na uaminifu wake hivyo akampa mapanga yote matatu. Jamaa akafurahi sana.

Siku nyingine jamaa alikuwa anatembea na mkewe njiani ghafla mke akadondokea mtoni, jamaa akaanza kulia. Malaika akatokea na kumuuliza: Kwanini unalia?

Jamaa: Mke wangu kadondokea mtoni na nampenda sana.

Malaika akazama mtoni akaibuka na WEMA SEPETU na kuuliza; "huyu ndiye mkeo?"

Jamaa: NDIYO.

Malaika akakasirika sana na kumuuliza: kwa nini umenidanganya?

Jamaa: Nimesema ndiyo kwa sababu ningesema hapana ungezama tena na kuibuka na AUNT EZEKIEL na ningesema hapana tena ungezama na kuibuka na MKE wangu alafu ningesema ndiyo ungenipa wote watatu!

Sasa mimi maskini sina uwezo wa kuhudumia wote hao, ndio maana nikasema NDIYO kwa Wema Sepetu.

*FUNDISHO*
Wanaume huwa hatusemi uongo bila sababu na inakuwa sababu maalumu kwa faida ya wote.

WANAUME WOTE NI WAAMINIFU. Hii ndiyo kauli mbiu yetu.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rashid (Guest) on June 24, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Yahya (Guest) on May 18, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on April 28, 2024

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Mwita (Guest) on April 14, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mwajabu (Guest) on April 13, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Chris Okello (Guest) on March 27, 2024

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on March 12, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on March 10, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Lucy Mushi (Guest) on January 31, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on December 31, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on December 17, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Irene Akoth (Guest) on November 17, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on November 11, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on November 8, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on September 28, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Anna Mahiga (Guest) on August 25, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mary Mrope (Guest) on August 18, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Hamida (Guest) on August 14, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on July 29, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on July 14, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on July 8, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Stephen Malecela (Guest) on July 5, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on June 20, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on June 19, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Raphael Okoth (Guest) on June 8, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on April 28, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on April 6, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Janet Mbithe (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joy Wacera (Guest) on March 30, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Martin Otieno (Guest) on March 10, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Susan Wangari (Guest) on February 20, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Shani (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Kamau (Guest) on January 13, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Raphael Okoth (Guest) on December 28, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on December 17, 2022

😊🀣πŸ”₯

Joseph Kawawa (Guest) on November 30, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Vincent Mwangangi (Guest) on November 24, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Monica Adhiambo (Guest) on November 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nashon (Guest) on November 10, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Francis Njeru (Guest) on October 31, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on October 26, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Juma (Guest) on October 6, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Mwambui (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Shamim (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mbithe (Guest) on July 9, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Michael Mboya (Guest) on June 18, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on April 29, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

John Lissu (Guest) on April 25, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on April 21, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on April 3, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 19, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on February 24, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on February 14, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Victor Kimario (Guest) on January 26, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Tenga (Guest) on January 11, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on January 6, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Kijakazi (Guest) on January 2, 2022

Asante Ackyshine

Shamsa (Guest) on December 23, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Zainab (Guest) on December 20, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Lydia Wanyama (Guest) on December 9, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Related Posts

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More