Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hii ndiyo bongo sasa!!

Featured Image

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya.

MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi….kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic .

BINTI: Mi naitaka hii

MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe lazima upate gari uloichagua mwenyewe. Mzee akatoa kitabu cha cheki na kuandika palepale na kumpa mwenye yard

MUUZAJI: Sasa Mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari utakuja chukua Jumatatu tukishahakikisha kuwa Account yako ina pesa benki. Naomba namba yako ya simu Mzee

MZEE: Hakuna tatizo (akampa namba). Haya twende zetu sweetie Jumatatu tunakuja wote kuchukua gari lako…

Siku ya Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.

MUUZAJI: We Mzee kavu sana, akaunti yako haina hata senti tano.

MZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.

πŸ’¦πŸ˜†πŸ’¦

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Kiwanga (Guest) on July 19, 2024

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Agnes Sumaye (Guest) on July 15, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on June 16, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Omari (Guest) on May 31, 2024

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Rubea (Guest) on May 11, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Henry Sokoine (Guest) on April 20, 2024

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on April 5, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on March 12, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on February 11, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on February 5, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Stephen Kangethe (Guest) on February 1, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on January 17, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Miriam Mchome (Guest) on December 15, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mariam (Guest) on December 11, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nicholas Wanjohi (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Stephen Kikwete (Guest) on December 3, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on December 1, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on December 1, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on November 18, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Anthony Kariuki (Guest) on November 15, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on November 12, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Halima (Guest) on November 9, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Selemani (Guest) on November 2, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Wande (Guest) on October 17, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Joyce Nkya (Guest) on September 19, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Tabu (Guest) on September 11, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Simon Kiprono (Guest) on August 17, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

John Mwangi (Guest) on August 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Rehema (Guest) on August 2, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lydia Mutheu (Guest) on July 19, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Ruth Mtangi (Guest) on July 15, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Mwalimu (Guest) on July 4, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Victor Kimario (Guest) on June 13, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Ruth Kibona (Guest) on May 3, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwinyi (Guest) on April 16, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Mwakisu (Guest) on April 9, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Peter Mwambui (Guest) on April 5, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on April 5, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on April 1, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on March 18, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Fikiri (Guest) on March 17, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on March 9, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Baridi (Guest) on February 12, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Sekela (Guest) on January 19, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

David Nyerere (Guest) on January 15, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Jane Malecela (Guest) on January 1, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on December 21, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on December 17, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 29, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on November 12, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on October 27, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on October 24, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Moses Mwita (Guest) on October 22, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

George Tenga (Guest) on October 21, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Nancy Kawawa (Guest) on October 12, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on October 10, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Moses Kipkemboi (Guest) on September 20, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

John Mwangi (Guest) on August 8, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on August 6, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Related Posts

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More