Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Featured Image

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule dada akasimama akashangaaa kanisa zima linamtizima kwa mshangao akiwemo mumewe, akaangalia kanisa zima akashtuka kujiona yeye peke yake ndiye aliesimama
Pastor akaendelea vizur endelea kusimama, tumepata mmoja hadi sasa aliyesimama narudia kwa mara ya mwisho kama hujasikia vizuri
" kama wew umewahi kumsaliti au bado unasaliti ndoa yako SIMAMA"
Binti akazimia

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mary Kidata (Guest) on July 21, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Guest (Guest) on October 13, 2025

Hahahahahaha! Hatari

Margaret Mahiga (Guest) on July 9, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Agnes Njeri (Guest) on July 5, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on July 4, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Amina (Guest) on July 2, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Hamida (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Alice Mrema (Guest) on June 20, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on June 15, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Zakia (Guest) on May 18, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Elizabeth Malima (Guest) on May 15, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on May 15, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on May 10, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Asha (Guest) on May 8, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Lucy Wangui (Guest) on April 14, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on April 10, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 28, 2024

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on March 7, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on December 29, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on December 3, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on November 4, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on September 26, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Kamande (Guest) on September 15, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Salma (Guest) on August 28, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 30, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mwajuma (Guest) on June 5, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Stephen Kikwete (Guest) on June 3, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on May 12, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Mercy Atieno (Guest) on March 21, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Moses Mwita (Guest) on February 11, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on January 28, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Samuel Were (Guest) on January 8, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Anna Kibwana (Guest) on November 21, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on November 11, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on November 9, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Asha (Guest) on November 2, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Chiku (Guest) on October 21, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Selemani (Guest) on October 21, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on October 11, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Omar (Guest) on October 7, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on September 30, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Nancy Komba (Guest) on September 26, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on September 23, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nuru (Guest) on September 18, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Francis Njeru (Guest) on June 29, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on April 23, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on April 21, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on April 19, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on January 31, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

James Kawawa (Guest) on January 10, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on January 1, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Philip Nyaga (Guest) on December 12, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lydia Mahiga (Guest) on December 7, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Juma (Guest) on December 4, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Simon Kiprono (Guest) on November 29, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

John Mwangi (Guest) on November 28, 2021

Asante Ackyshine

Makame (Guest) on October 30, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Grace Njuguna (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Related Posts

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More