Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Featured Image
Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ilikuwa kwenye shelf ya chini, wakati anainama apate kuitazama vizuri kwa bahati mbaya (au nzuri!), shuzi likamtoka- druuuuuu, soni ikamuingia huku akigeuka haraka kuangalia kama kuna yeyote dukani pale ameliskia shuzi lake, macho yakagongana na mwenye duka ambaye alikuwa karibu huku uso ukiwa umejaa tabasamu zito, mwana mama hakuwa na uhakika kama amesikika au hakusikika, akaona atumie nafasi ile kuyeyusha…Akauliza "Hii pete bei gani?" . Jamaa mwenye duka, huku akiangua kicheko, akajibu "Umeiona tu umejamba, je nikikuambia bei yake si utakunya kabisa?"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Andrew Mahiga (Guest) on July 24, 2024

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Elizabeth Mtei (Guest) on July 17, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on July 16, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Nora Kidata (Guest) on July 11, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Vincent Mwangangi (Guest) on July 4, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on June 5, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on May 23, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Betty Akinyi (Guest) on May 11, 2024

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

John Malisa (Guest) on April 22, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Shukuru (Guest) on April 15, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Frank Macha (Guest) on March 25, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mwanaidha (Guest) on March 9, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Jafari (Guest) on February 21, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joseph Kawawa (Guest) on February 17, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on February 14, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on February 13, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Victor Kimario (Guest) on January 13, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anna Mahiga (Guest) on January 8, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Rabia (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Charles Wafula (Guest) on December 14, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on December 5, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on November 27, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nora Kidata (Guest) on November 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Fredrick Mutiso (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

George Ndungu (Guest) on November 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Rose Amukowa (Guest) on October 24, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on October 16, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Charles Wafula (Guest) on October 14, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on October 11, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Tambwe (Guest) on August 21, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Elizabeth Malima (Guest) on August 10, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on August 7, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on July 15, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on July 3, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on June 28, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Rehema (Guest) on June 10, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine (Guest) on May 21, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Francis Njeru (Guest) on May 16, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on May 12, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Benjamin Masanja (Guest) on May 11, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Sekela (Guest) on April 16, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on April 16, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mwanahawa (Guest) on April 7, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rose Waithera (Guest) on March 23, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Kijakazi (Guest) on March 19, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Francis Mtangi (Guest) on March 7, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

George Mallya (Guest) on February 24, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Nora Lowassa (Guest) on February 21, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on February 15, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Martin Otieno (Guest) on February 13, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Anna Mchome (Guest) on February 10, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mazrui (Guest) on February 10, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 29, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Daniel Obura (Guest) on January 25, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on December 25, 2022

😊🀣πŸ”₯

Francis Mtangi (Guest) on November 20, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mary Mrope (Guest) on November 18, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Charles Mboje (Guest) on November 18, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Nancy Kawawa (Guest) on November 18, 2022

Asante Ackyshine

Lucy Mushi (Guest) on November 9, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Related Posts

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More