Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Featured Image

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo simu umenunua Bei gani?

Kwakuwa natoaga sadaka kidogo,na ZAKA ndo sijawahi kutoa,Nikamjibu nimenunua JANA,ELFU 50, akanipa LAKI MOJA,nikanunue mbili,yake na ya mke wake. Sa najaribu kumuuliza Mungu,kwanini kaamua kuniadhibu mbele ya mchungaji bila hata kunionya!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kijakazi (Guest) on July 20, 2024

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Charles Mboje (Guest) on July 1, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Samson Tibaijuka (Guest) on May 22, 2024

Asante Ackyshine

Sarah Achieng (Guest) on May 19, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on May 16, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Salma (Guest) on May 3, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Omar (Guest) on May 3, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Victor Sokoine (Guest) on March 30, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on March 25, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khalifa (Guest) on March 25, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Kijakazi (Guest) on March 19, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Anna Mchome (Guest) on March 10, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Ibrahim (Guest) on March 2, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Daniel Obura (Guest) on February 19, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on February 12, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on February 4, 2024

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

James Kawawa (Guest) on January 30, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Frank Macha (Guest) on January 7, 2024

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Fadhili (Guest) on December 6, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Grace Wairimu (Guest) on November 20, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Yahya (Guest) on November 19, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Stephen Mushi (Guest) on November 8, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on November 3, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Saidi (Guest) on October 22, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Muslima (Guest) on October 8, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Kevin Maina (Guest) on October 8, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

John Malisa (Guest) on October 6, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on September 28, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kidata (Guest) on September 27, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Paul Kamau (Guest) on August 27, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on August 9, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Abdillah (Guest) on July 1, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mhina (Guest) on June 10, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Muslima (Guest) on May 27, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Zakia (Guest) on April 29, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Ruth Wanjiku (Guest) on April 22, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on April 12, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Victor Malima (Guest) on April 11, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Zainab (Guest) on March 29, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on January 29, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

John Lissu (Guest) on January 17, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 5, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mercy Atieno (Guest) on December 19, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on December 18, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Elizabeth Malima (Guest) on November 13, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Francis Njeru (Guest) on November 4, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on October 7, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Peter Tibaijuka (Guest) on September 19, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on September 10, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Jabir (Guest) on August 15, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Samuel Omondi (Guest) on August 1, 2022

😊🀣πŸ”₯

James Kawawa (Guest) on July 27, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Umi (Guest) on July 26, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Sarah Mbise (Guest) on July 7, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on July 6, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Shabani (Guest) on June 23, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Stephen Malecela (Guest) on June 3, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mzee (Guest) on May 19, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Related Posts

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More