Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Featured Image

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbinguni na kushoto ni Jehanamu, Je unachagua kwenda wapi?

MANGI: Bwashee, mi nabaki hapa hapa njiapanda aisee.
MALAIKA: Kwa nini?
MANGI: Aisee, nikifungua duka hapa si nitapata wateja wa Mbinguni na Jehanam. Yani patakuwa senta ya hatari, supu na nyama choma muda wote. Hata we utafaidi, unavyoenda kuchukua roho unaniletea stock nakupa hela yako cash mkononi. Na kila ukipita hapa unapiga mchemsho wako wa ulimi na bia mbili chap kabla ya kuingia mbinguni.
Kwanza nashangaa Shirima alipitaje hapa bila kushika ploti, au alikufa amelewa sana?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Robert Okello (Guest) on July 15, 2024

πŸ˜‚πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on June 29, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Rose Kiwanga (Guest) on June 19, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Peter Tibaijuka (Guest) on June 3, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Edward Lowassa (Guest) on April 8, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Janet Mwikali (Guest) on March 22, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Wangui (Guest) on January 30, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on December 29, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Sultan (Guest) on December 22, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rose Kiwanga (Guest) on December 18, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on November 17, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Maneno (Guest) on October 27, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Stephen Mushi (Guest) on October 19, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Lissu (Guest) on October 14, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Azima (Guest) on September 27, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Ann Awino (Guest) on September 13, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Baraka (Guest) on August 24, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Henry Mollel (Guest) on August 22, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Salum (Guest) on August 18, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on July 24, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mary Mrope (Guest) on June 18, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 18, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on May 19, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mwagonda (Guest) on April 26, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sofia (Guest) on April 25, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Mchome (Guest) on April 14, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Hamida (Guest) on April 10, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 10, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on April 6, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Grace Njuguna (Guest) on April 1, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jane Muthoni (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Khatib (Guest) on March 10, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Michael Mboya (Guest) on February 13, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on February 6, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Victor Kamau (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

George Wanjala (Guest) on January 5, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Stephen Amollo (Guest) on December 8, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on November 1, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Makame (Guest) on October 28, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on October 17, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Janet Sumari (Guest) on October 15, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on September 15, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on August 13, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 12, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on June 19, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alice Wanjiru (Guest) on June 8, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 7, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

John Malisa (Guest) on May 8, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on April 11, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on March 31, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Kassim (Guest) on March 28, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 23, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on February 20, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on February 1, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nchi (Guest) on January 30, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

John Mushi (Guest) on January 23, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Monica Lissu (Guest) on January 20, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on January 8, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Juma (Guest) on January 3, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Related Posts

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More