Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Featured Image

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbinguni na kushoto ni Jehanamu, Je unachagua kwenda wapi?

MANGI: Bwashee, mi nabaki hapa hapa njiapanda aisee.
MALAIKA: Kwa nini?
MANGI: Aisee, nikifungua duka hapa si nitapata wateja wa Mbinguni na Jehanam. Yani patakuwa senta ya hatari, supu na nyama choma muda wote. Hata we utafaidi, unavyoenda kuchukua roho unaniletea stock nakupa hela yako cash mkononi. Na kila ukipita hapa unapiga mchemsho wako wa ulimi na bia mbili chap kabla ya kuingia mbinguni.
Kwanza nashangaa Shirima alipitaje hapa bila kushika ploti, au alikufa amelewa sana?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Margaret Anyango (Guest) on March 17, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Ndoto (Guest) on March 16, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Monica Nyalandu (Guest) on February 27, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on February 13, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Nchi (Guest) on February 8, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

John Mwangi (Guest) on January 12, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mwanaidi (Guest) on January 10, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Jackson Makori (Guest) on January 1, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on December 24, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Kibwana (Guest) on December 22, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Lydia Wanyama (Guest) on December 18, 2016

🀣πŸ”₯😊

Omari (Guest) on December 10, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Mwalimu (Guest) on December 1, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Shamsa (Guest) on November 21, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Janet Sumari (Guest) on November 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

David Ochieng (Guest) on November 16, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jaffar (Guest) on November 5, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lydia Mahiga (Guest) on November 1, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 1, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on September 9, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Abubakar (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Hellen Nduta (Guest) on August 25, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on August 21, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Tambwe (Guest) on August 14, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on August 11, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Yusuf (Guest) on August 10, 2016

Asante Ackyshine

Grace Majaliwa (Guest) on August 6, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on August 1, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on July 31, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jane Malecela (Guest) on June 25, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Alex Nyamweya (Guest) on June 21, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Joseph Mallya (Guest) on June 18, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Maneno (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Nchi (Guest) on May 28, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Shukuru (Guest) on February 27, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Emily Chepngeno (Guest) on January 20, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on December 23, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 17, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on December 2, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on November 23, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Catherine Naliaka (Guest) on October 27, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Hekima (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Lucy Mahiga (Guest) on September 27, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on September 23, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Frank Macha (Guest) on September 2, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on August 19, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on August 17, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 2, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

George Tenga (Guest) on July 25, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on July 14, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Zakaria (Guest) on June 9, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Irene Akoth (Guest) on April 28, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

David Chacha (Guest) on April 17, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on April 1, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More