Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Featured Image

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJUE ni jamaa wa UDSM.

2. Ukaona geto lina nguo nyingi za watu tofauti tofauti, unga mwingi, vtunguu vng, nyanya halaf pembeni, Vitabu vya kutosha na lundo la karatasi za betting ujue huyu JAMAA ni wa SAUT.

3. Ukaona geto halina kitu ndani zaidi ya mkate wa bakheresa na kopo la maji UJUE huyu jamaa ni wa UDOMπŸ˜‚β˜

4. Ukaona geto lina visamaki vikavu mezani, Notes za kutosha mezani na jaba pembeni UJUE huyu ni MJAMAA WA MWENGE/MWECAUπŸ˜œπŸ‘€

5. Ukaona geto lina Mawigi mengi na dressing table pembeni, ngazi ya kuwekea viatu UJUE huyu mjamaa ni wa RUCO IRINGA😘

6. Ukaona geto lina spray za kila aina, Nguo nyingi hasa za mitumba ambazo zimemodolewa mpaka tight UJUE huyu MJAMAA ni wa USHIRIKA MOSHI.

7.Ukiona geto lina Nyanya na mikungu ya ndizi halafu halafu nje kuna jiko la Mkaa UJUE huyu mjamaa ni wa TEKU mbeya😳

8. Ukiona geto lina tranka na nje wamevulia buti, viatu vya matope UJUE huyu Mjamaa ni Wa SMUCO MWIKA.

9. Ukaona geto ndan mashuka ya kimasai kinabao, hapa usipatwe na Mashaka, Jua huyu ni Mjamaa wa MAKUMIRA. 😜😜😜😜

10. Ukaona geto lina vimodo, vimini, miwani za tittled, jiko la mafuta ya taa, kitandani mito zaidi ya Minne,Visarafu kwenye meza, Tshirt nyingi za semina za family planning, Ukimwi n.k halafu chini tv ya chogo na king'amuz cha continental Ujue huyu MJAMAA ni wa TIA DSM 😱😱😱😱😱😱😱

β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β€΅β¬πŸ†™πŸ†™πŸ†™πŸ†™
JE, KWAKO KUKOJE? ???
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Baridi (Guest) on December 8, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Nuru (Guest) on December 5, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Janet Mbithe (Guest) on December 3, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on November 30, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on November 25, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Monica Adhiambo (Guest) on October 8, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on August 1, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Shamsa (Guest) on July 31, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Kheri (Guest) on July 23, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lucy Kimotho (Guest) on July 4, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on March 31, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Samuel Omondi (Guest) on March 24, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Omar (Guest) on March 1, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nancy Komba (Guest) on February 19, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Njuguna (Guest) on February 10, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on January 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Juma (Guest) on January 4, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on December 16, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nancy Kawawa (Guest) on December 2, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mariam (Guest) on November 24, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Frank Sokoine (Guest) on November 4, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on September 28, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on September 23, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 22, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on September 17, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on September 2, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Edwin Ndambuki (Guest) on August 30, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Betty Cheruiyot (Guest) on August 23, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on August 3, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on July 25, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Monica Adhiambo (Guest) on June 24, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on May 27, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Shamim (Guest) on May 11, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Moses Mwita (Guest) on April 21, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on April 15, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Bakari (Guest) on February 20, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

James Kawawa (Guest) on February 12, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Tabitha Okumu (Guest) on January 26, 2016

🀣πŸ”₯😊

Ann Awino (Guest) on January 4, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Warda (Guest) on December 21, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Christopher Oloo (Guest) on November 24, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on November 8, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Janet Sumari (Guest) on November 8, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on November 2, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on October 6, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on August 30, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Fadhila (Guest) on August 3, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Anna Sumari (Guest) on July 29, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on July 9, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Benjamin Kibicho (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

David Musyoka (Guest) on June 22, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Isaac Kiptoo (Guest) on June 8, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lucy Wangui (Guest) on May 20, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on May 8, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Arifa (Guest) on May 7, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on April 29, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on April 27, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mary Kidata (Guest) on April 24, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Related Posts

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More