Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Featured Image

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo maarufu
ya kwenye daladala.

1.Yatima hadeki
2.Utamu wa chips mimba
3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai kopesha ukweni
4. Usiyempenda kaja
5. Kobe hapimwi joto
6. Acha kazi uone kaz kupata kaz
7. Ukichezea koki utalowa
8. Heshima pesa kipara kovu tu!
9. Mtumbwi hauna saitmira.
9. Silaha pesa bastola mzigo
10. Hata uoge mjini huendi
11. Chezea mshahara usichezee kazi.
12. Ukiona manyoya ujue kishaliwa
13. Ikisimama Panda
14. Pombe pombe tuu kunywea bar mbwebwe
15. Njia ya chooni haioti nyasi
16. Likizo ya maskini ugonjwa
17. When i grow up i want to be a scania
18. Hata bibi alikuwa binti
19. Kisigino hakikai mbele
20. Kama mapenz pesa kaolewe na benki
21. Hata barabara ina matuta lakin huwez panda viazi
22. Mavi hayana miba lakin ukikanyaga lazma uchechemee
23. Paka haishi kwa msela
24. Ukipendwa ujue kuna boya kaachwa
25. NIPO NIPO KWANZA
26. Mchana nzi ucku mbu
27. Ucmshangae funza kukata viuno ndio mwendo wake
28. Kama umelipenda(gari) bonyeza nyota liwe lako
29. Supermarket hawauzi mkaa
30. We nisubiri mi nakungoja.
31. Zetu dagaa kuku tamaa
32. Hata uwe na heshima vipi huwezi kumpokea askari bunduki
H
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜πŸ˜πŸ˜

Share na wenzako kuongeza siku za kuishi

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kijakazi (Guest) on August 13, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Halima (Guest) on August 3, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Robert Okello (Guest) on July 23, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on July 17, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on July 7, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on June 20, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zawadi (Guest) on June 18, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 25, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on May 7, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Neema (Guest) on April 26, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Joyce Aoko (Guest) on April 10, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Maida (Guest) on April 6, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Thomas Mtaki (Guest) on March 7, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Grace Mushi (Guest) on March 2, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on January 4, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on December 22, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

John Lissu (Guest) on December 4, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on November 28, 2016

🀣πŸ”₯😊

Mwanakhamis (Guest) on November 20, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Charles Wafula (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Tabitha Okumu (Guest) on November 1, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on October 4, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Grace Minja (Guest) on October 2, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on August 31, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

John Kamande (Guest) on August 26, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on August 21, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on August 18, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Elijah Mutua (Guest) on August 9, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Kenneth Murithi (Guest) on July 29, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Makame (Guest) on June 10, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Raha (Guest) on June 7, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Abubakar (Guest) on May 31, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ann Awino (Guest) on May 28, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Anna Malela (Guest) on May 21, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Henry Mollel (Guest) on May 7, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on April 27, 2016

😊🀣πŸ”₯

Maulid (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Victor Malima (Guest) on December 28, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on December 26, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Lucy Kimotho (Guest) on December 17, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Kijakazi (Guest) on December 16, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Joy Wacera (Guest) on November 29, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on November 27, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Mwajabu (Guest) on November 24, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 8, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Robert Ndunguru (Guest) on October 28, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Andrew Mchome (Guest) on October 27, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on October 20, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on October 3, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on October 2, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Agnes Sumaye (Guest) on September 16, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on September 3, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Sumaye (Guest) on August 11, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 2, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on June 14, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Henry Sokoine (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

John Mushi (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

David Nyerere (Guest) on May 8, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Azima (Guest) on April 21, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Related Posts

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More