Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy,
MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa
MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye
kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;

MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili?
MFAMASIA: Kama chumvichumvi
MZEE: Hakuna sukari
MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa
MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mariam Kawawa (Guest) on March 8, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Kijakazi (Guest) on March 5, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Jamal (Guest) on February 11, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Sarah Mbise (Guest) on January 22, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on January 22, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Safiya (Guest) on January 21, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Margaret Mahiga (Guest) on January 18, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Zakia (Guest) on January 9, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Kenneth Murithi (Guest) on January 1, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwanahawa (Guest) on December 28, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Christopher Oloo (Guest) on November 5, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on October 30, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Kawawa (Guest) on October 16, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on October 15, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on October 9, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Christopher Oloo (Guest) on October 8, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on September 14, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on September 4, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Maulid (Guest) on September 1, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 28, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on August 26, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

John Mwangi (Guest) on August 21, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Irene Makena (Guest) on August 9, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Stephen Amollo (Guest) on August 4, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Agnes Sumaye (Guest) on August 2, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Samuel Were (Guest) on July 9, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on June 16, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Anna Kibwana (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Peter Mwambui (Guest) on May 25, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Peter Mbise (Guest) on April 25, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Mariam (Guest) on April 2, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joseph Kitine (Guest) on March 29, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on March 15, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on March 6, 2016

😊🀣πŸ”₯

Moses Kipkemboi (Guest) on February 29, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on February 27, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mary Njeri (Guest) on February 24, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on January 30, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Lucy Mahiga (Guest) on November 27, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sharon Kibiru (Guest) on November 26, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

David Ochieng (Guest) on November 23, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rehema (Guest) on October 30, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Kahina (Guest) on October 19, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Charles Mchome (Guest) on October 10, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Warda (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

David Kawawa (Guest) on August 18, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on August 10, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on July 2, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Simon Kiprono (Guest) on June 21, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on May 19, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Biashara (Guest) on May 5, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on April 17, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 13, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Khatib (Guest) on April 8, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Related Posts

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More