Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Featured Image

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza kwa Kimombo:-
"… Lord I pray for Grace, I pray for Mercy, I pray 4 Joy, I pray 4 Love, I pray 4 Hope, I pray 4 GLORY, I pray 4 Faith, I pray 4…."





Mke akadakia, "Unadhani mimi sina ee" akaanza:-
I pray 4 Felix, I pray 4 Temu, I pray 4 Rweyemamu, I pray 4 Masawe, I pray 4 Benson, I pray 4 Onyango, I pray 4 Swai, I pray kwa wote niliowasahau!!
Chezea mchepuko…!!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Henry Mollel (Guest) on March 20, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on March 14, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Janet Mwikali (Guest) on March 11, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Emily Chepngeno (Guest) on March 2, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Nancy Kabura (Guest) on February 28, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Tabitha Okumu (Guest) on February 24, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on February 11, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on February 7, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on January 22, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on January 18, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on January 10, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Andrew Odhiambo (Guest) on January 10, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Hawa (Guest) on January 5, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Hamida (Guest) on January 1, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joseph Kiwanga (Guest) on December 27, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Vincent Mwangangi (Guest) on December 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on November 13, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shamim (Guest) on November 1, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Jane Malecela (Guest) on October 27, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on October 6, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Yusuf (Guest) on September 28, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Alex Nakitare (Guest) on September 27, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Sharifa (Guest) on August 23, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Janet Mbithe (Guest) on August 14, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on July 31, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nancy Komba (Guest) on June 22, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mchawi (Guest) on June 20, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mwanaisha (Guest) on May 12, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Tabitha Okumu (Guest) on May 10, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on April 24, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarafina (Guest) on April 6, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mariam Kawawa (Guest) on March 8, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Salma (Guest) on February 21, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mwanaisha (Guest) on January 26, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Charles Wafula (Guest) on January 20, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on January 10, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Victor Malima (Guest) on December 31, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Kikwete (Guest) on December 22, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Charles Mrope (Guest) on December 22, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Fadhila (Guest) on December 11, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Kenneth Murithi (Guest) on December 11, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on December 2, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on October 25, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

George Ndungu (Guest) on October 8, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Janet Sumaye (Guest) on October 4, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on September 19, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on September 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Amir (Guest) on August 22, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Thomas Mtaki (Guest) on August 20, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Shukuru (Guest) on August 18, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwanais (Guest) on August 16, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on July 28, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Arifa (Guest) on July 20, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Hassan (Guest) on July 2, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

George Wanjala (Guest) on June 29, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on June 28, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on June 25, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Related Posts

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More