Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Featured Image

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti kwa njia ya simu juu ya walichokikuta
ASKARI: Mkuu tumekuta mama mwenye nyumba kampiga mumewe chuma cha kichwa na kumuumiza vibaya sanaa





AFANDE: Kha! kisa mkasa mpk akafanya hivyo
ASKARI: Mama mwenye nyumba alikua anapiga deki mumewe akaingia ndani viatu kabla sakafu haijakauka
AFANDE: Sasa mmesha mkamata huyo mwanamke
ASKARI: Bado mkuu
AFANDE: Kha! sasa mnangoja nini
ASKARI: Si tunangoja sakafu ikauke


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Mushi (Guest) on July 25, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nancy Kabura (Guest) on July 23, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Mugendi (Guest) on July 20, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on July 15, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on June 14, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on May 24, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on May 5, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on April 28, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Wambura (Guest) on April 26, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on April 17, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on April 6, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

David Musyoka (Guest) on March 22, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Jamal (Guest) on February 26, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

George Wanjala (Guest) on February 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Husna (Guest) on February 8, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Lydia Mahiga (Guest) on January 31, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mwinyi (Guest) on December 20, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 16, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Paul Kamau (Guest) on November 28, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on October 13, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on September 20, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on September 11, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on August 26, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Fadhili (Guest) on August 18, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Maida (Guest) on August 16, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Patrick Mutua (Guest) on August 16, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Victor Kimario (Guest) on August 5, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on July 29, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on July 13, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on June 14, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Josephine (Guest) on May 29, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Waithera (Guest) on May 12, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Irene Makena (Guest) on April 27, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rubea (Guest) on March 23, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Nassar (Guest) on March 19, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Andrew Mahiga (Guest) on January 22, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Charles Mboje (Guest) on January 20, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Edwin Ndambuki (Guest) on January 12, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on December 15, 2015

😊🀣πŸ”₯

Sarah Mbise (Guest) on November 21, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Njeru (Guest) on November 12, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Mwangi (Guest) on November 11, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Joyce Mussa (Guest) on October 31, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on October 23, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nyota (Guest) on October 9, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Charles Wafula (Guest) on October 8, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on October 4, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on August 23, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mtumwa (Guest) on August 12, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Yusuf (Guest) on August 1, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Jackson Makori (Guest) on July 2, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on June 23, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Frank Macha (Guest) on May 12, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on May 2, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on April 28, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on April 21, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Related Posts

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More