Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Featured Image

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti kwa njia ya simu juu ya walichokikuta
ASKARI: Mkuu tumekuta mama mwenye nyumba kampiga mumewe chuma cha kichwa na kumuumiza vibaya sanaa





AFANDE: Kha! kisa mkasa mpk akafanya hivyo
ASKARI: Mama mwenye nyumba alikua anapiga deki mumewe akaingia ndani viatu kabla sakafu haijakauka
AFANDE: Sasa mmesha mkamata huyo mwanamke
ASKARI: Bado mkuu
AFANDE: Kha! sasa mnangoja nini
ASKARI: Si tunangoja sakafu ikauke


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Mushi (Guest) on July 25, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nancy Kabura (Guest) on July 23, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Mugendi (Guest) on July 20, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on July 15, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on June 14, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on May 24, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on May 5, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on April 28, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Wambura (Guest) on April 26, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on April 17, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on April 6, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

David Musyoka (Guest) on March 22, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Jamal (Guest) on February 26, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

George Wanjala (Guest) on February 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Husna (Guest) on February 8, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Lydia Mahiga (Guest) on January 31, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mwinyi (Guest) on December 20, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 16, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Paul Kamau (Guest) on November 28, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on October 13, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on September 20, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on September 11, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on August 26, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Fadhili (Guest) on August 18, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Maida (Guest) on August 16, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Patrick Mutua (Guest) on August 16, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Victor Kimario (Guest) on August 5, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on July 29, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on July 13, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on June 14, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Josephine (Guest) on May 29, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Waithera (Guest) on May 12, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Irene Makena (Guest) on April 27, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rubea (Guest) on March 23, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Nassar (Guest) on March 19, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Andrew Mahiga (Guest) on January 22, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Charles Mboje (Guest) on January 20, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Edwin Ndambuki (Guest) on January 12, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on December 15, 2015

😊🀣πŸ”₯

Sarah Mbise (Guest) on November 21, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Njeru (Guest) on November 12, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Mwangi (Guest) on November 11, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Joyce Mussa (Guest) on October 31, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on October 23, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nyota (Guest) on October 9, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Charles Wafula (Guest) on October 8, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on October 4, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on August 23, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mtumwa (Guest) on August 12, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Yusuf (Guest) on August 1, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Jackson Makori (Guest) on July 2, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on June 23, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Frank Macha (Guest) on May 12, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on May 2, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on April 28, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on April 21, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Related Posts

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More